Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

ni nokia e71 inauzwa ipo katika hali nzuri. Bei ni maelewano karibuni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watalaam nisadieni kucalculate kodi,gx 110,cc1980,mwaka 2002.cif 3600 itanigharimu kiasi gani kulipa tax?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
ndugu husika na mada tajwa Kiwanja chenye viwanja viwili ndani yake medium density kila kimoja kinauzwa. kipo eneo la buhongwa mjini,kilomita moja kutoka buhongwa stand. Gharama ni million 20...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ANYSEE is an International Company registered in Hong Kong in the year 2000. It is a worldwide company with branches in Russia, Malaysia, Indonesia, China and Hong Kong being the Head office...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anehitaji ani Pm bei bei 1400, 000/= Brand new
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nauza Samsung Galaxy II. imetumika kwa miezi saba. Bei Tshs 600,000 Pia laptop PROLINE inauzwa. imetumika miezi sita bei Tshs. 500,000 Spec zake: Windows 7 Ultimate Processor: Intel (R)...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
wenye kuhitaji gari nauza carina ti number ni bhn ina km 174000 kwa aliyoko tayari waweza wasiliana na kufanya biashara Bei ni milioni saba na nusu.....0756019969 tuwasiliane kwa number hyo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau Nahitaji kununua gari yenye fuel consumption ndogo but durable ktk kuangalia details nimefikia Carina Ti 1500cc & Nissan Wingroad 1500cc. Mwenye details anijuze
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi jamani napendA kuwajulisha kuwa bidhaa pendwa iliyotajwa hapo juu ,ni genuine au original kabisa na vizito kutoka Congo mali ndo imeshuka,vinauzwa Tsh 40000 kwa doti yenye piece...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman chakula cha mifugo hasa nguruwe au ngombe kinauzwa kwa bei chee kabisa.chakula hiki ni special kwani kina mchanganyiko wa vitu vifuatavyo: 1.pumba 2.ngano 3.unga wa mahindi 4.mahindi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nina mil.4 kamili mtu yeyote mwenye corola limited iliyo kwenye hali nzuri hata kama ya zamani kidogo ani PM.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
samsung hard disk 320gb ram 4gb bei 650000 maelewano yapo **wahi**
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni pm Nipe bei na namna ulivyozipack ...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu. Kwa wale wajasilia mali na wale wanaotaraji kuwa wajasilia mali, nina agent till ya M-pesa ninaiuza. Sababu ya kuiuza ni baada ya kuletewa nyingine nikiwa tayari...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna nyumba ya kupanga Mbezi beach-makonde, jirani na mbezi garden hotel. Ina vyumba vitatu vya kulala na kimoja ni master, jiko na sebule. Ni nzuri sana . Anayetaka ani PM nimpe namba ya mwenye...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nauza laptop hiyo, imekufa motherboard, ina ram 2gb, hdd 320 gb, na screen size 13.3 inch. Price tsh 290,000
0 Reactions
1 Replies
933 Views
Nimekuwa nikipokea simu kutoka kwa watu wanaotaka nunua vitu mbali mbali kama smartphones na tableti, wakiomba ushauri toka kwangu...na wengine hata wakitaka kununua wakidhani nina duka. Mimi ni...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Suzuki swift 2004, 133,000km linauzwa 7.5mil, valid road lincense, insurance, anayeitaji ani pm. Halina matatizo yoyote.
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Car for sale with lowest price ever Brand : Daihatsu Terrios Kid year : 1999 mileage : 123850 location : Arusha valid road licence with comprehensive Insurance upto November Price...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nina duka la vifaa vya umeme na ujenzi- kiasi. thamani yake ni minimum ya mil 2.5 Nimefanya biashara kwa almost 3 complete months--- kama mtu atahitaji mauzo yalivyokuwa nitamuonyesha. Nilimuweka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom