Samsung Tab for sell
Brand new ikiwa na nylon bado
Model Samsung GT P3113
Android Verson 4.0.4 Jelly Bean
Nches 7"
Storage Memory GB 8 Microcard slot up to 32 GB
Inasupport Wifi peke...
Kiwanja kinauzwa mzumbe nje ya chuo cha mzumbe kimeshajengwa nyumba usawa wa madirisha rum 4 na sitting rum na dining na kitchen na pia ina sehemu ya parking ya gar ...pia ni eneo zuri kwa ajili...
Habari zenu wanajf
Katika pitapita zangu mtaani kuna nyumba moja imenivutia sana kwa jinsi ilivyojengwa,ni nyumba ya gorofa moja, mchoro wake na design yake vimenivutia sana.
Tatizo ni kwamba je...
...jaman naomba mwenye uwezo wa kunîsaidia kupata fremu eneo la mafinga anipe support plz.... Fremu ikipatikana barabara ya kuingia stand, mbele au nyuma ya c.c.m nitafurahi sana, watu wa mafinga...
Toyota Verossa Ya Mwaka 2001
Price: TSH 11,000,000 - (11M)
Kilometers: 87000
Four Wheel Drive
Transmission: Automatic
Simu: 0689341445
Mahali Lilipo: Dar Es Salaam-
Gari iko kwenye hali...
Kwa anayehitaji sofa, yapo mawili moja ya watu wawili moja ya mtu mmoja. Rangi damu ya mzee kitambaa kigumu sponge safi. Imetumika miezi 6 tu.bei maelewano. Nipo dar. For serios buyers only ni pm.
Waungwana
Sijui kama hapa ni mahala pake, lakini namtafuta mtu ambaye ni mtaalam wa nishati ya umeme jua, haswa mtu ambaye ni mhandisi, au kijana yeyote yule aliyesomea, kwa mfano, pale VETA...
Shule inauzwa ukubwa wa eneo ni sq 8030, kuna madarasa 7, jengo la utawala, vyoo, pia ndani ya eneo kuna mnara wa Airtel. Eneo lipo barabara inayotoka Tegeta kibaoni kupitia wazo kwenda Mbezi ya...
hallow jamii forums,
As the heading say i am selling harrier model year: 2002. the car is in a very good condition. It have been imported in the country 12 December 2012 and all the duties have...
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 32 na nimeajiriwa. Elimu yangu ni ya chuo kikuu, natafuta msichana mwenye sifa zifuatazo ili tuwe marafiki na ikifaa kama wote tutaridhia tunaweza kuwa wachumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.