Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

NYUMBA 2 ZINAUZWA Dar 1. (a) 3 bed rooms (b) 1 dining room (c) 1 seating room (d) inside toilet (e) electricity (f) land = 20x30 (g) Price: 55 tshs million (h) Negotiation =...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Samsung Tab for sell Brand new ikiwa na nylon bado Model Samsung GT P3113 Android Verson 4.0.4 Jelly Bean Nches 7" Storage Memory GB 8 Microcard slot up to 32 GB Inasupport Wifi peke...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji iphone 3g. Kwa mwenye nayo tuwasiliane 0714021078
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Kiwanja kinauzwa mzumbe nje ya chuo cha mzumbe kimeshajengwa nyumba usawa wa madirisha rum 4 na sitting rum na dining na kitchen na pia ina sehemu ya parking ya gar ...pia ni eneo zuri kwa ajili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naitaji iPhone 5ya kununua iwe na rangi nyeusi yenye GB kuanzia 32, aliyenayo aniPM
-2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wanajf Katika pitapita zangu mtaani kuna nyumba moja imenivutia sana kwa jinsi ilivyojengwa,ni nyumba ya gorofa moja, mchoro wake na design yake vimenivutia sana. Tatizo ni kwamba je...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Rav 4 ya mwaka 1995, imetembea 166,500 km, rangi ni grey, bei ni TZS. 8M. For more information, plz pm.
0 Reactions
0 Replies
808 Views
...jaman naomba mwenye uwezo wa kunîsaidia kupata fremu eneo la mafinga anipe support plz.... Fremu ikipatikana barabara ya kuingia stand, mbele au nyuma ya c.c.m nitafurahi sana, watu wa mafinga...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani msaada mwenye hyo mambo,au anafahamu duka na price ani pm tufanye biashara haraka
0 Reactions
1 Replies
810 Views
inauzwa ni gb 300 nipe bei
0 Reactions
0 Replies
620 Views
ni hp nx6110 used, hhd 40 gb ram 520, processor 1.5mhz, ina crack kidogo ktk display, betri inatunza chaji kwa dk 10. bei 100,000. cont: 0714 408238
0 Reactions
1 Replies
870 Views
  • Closed
Toyota Verossa Ya Mwaka 2001 Price: TSH 11,000,000 - (11M) Kilometers: 87000 Four Wheel Drive Transmission: Automatic Simu: 0689341445 Mahali Lilipo: Dar Es Salaam- Gari iko kwenye hali...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Yenye kusuport kadi ya simu, Iwe ktk hali nzuri.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa anayehitaji sofa, yapo mawili moja ya watu wawili moja ya mtu mmoja. Rangi damu ya mzee kitambaa kigumu sponge safi. Imetumika miezi 6 tu.bei maelewano. Nipo dar. For serios buyers only ni pm.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Call me on 0714 064767 kama unahitaji kwa mwezi 500,000/= fremu ipo mtaa wa udowe/lumumba karibu na durban hotel
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Waungwana Sijui kama hapa ni mahala pake, lakini namtafuta mtu ambaye ni mtaalam wa nishati ya umeme jua, haswa mtu ambaye ni mhandisi, au kijana yeyote yule aliyesomea, kwa mfano, pale VETA...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Yesuuu unipendaaaeeeee kwaakooo nakimbiliiiaaaaaa ni weweeeee utoshayeeeee mwovu akinijiaaaaaaaa yaficheeee ubavuniiii kwako maisha yaaaanguuuu ;;;NDugu zangu wapendwa katika Bwana ni furaha yangu...
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Shule inauzwa ukubwa wa eneo ni sq 8030, kuna madarasa 7, jengo la utawala, vyoo, pia ndani ya eneo kuna mnara wa Airtel. Eneo lipo barabara inayotoka Tegeta kibaoni kupitia wazo kwenda Mbezi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hallow jamii forums, As the heading say i am selling harrier model year: 2002. the car is in a very good condition. It have been imported in the country 12 December 2012 and all the duties have...
0 Reactions
2 Replies
826 Views
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 32 na nimeajiriwa. Elimu yangu ni ya chuo kikuu, natafuta msichana mwenye sifa zifuatazo ili tuwe marafiki na ikifaa kama wote tutaridhia tunaweza kuwa wachumba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom