Natafuta chumba na sebule!

Natafuta chumba na sebule!

Blessed Keinerugaba

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
4,789
Reaction score
4,830
Salaam Stahili ziwafikie nyote!
Rejea mada tajwa hapo juu,ninatafu nyumba yenye sifa zifuatazo;-
-Chumba 1 na sebule/chumba kimoja kikubwa self-contained
-ada iwe 50,000/ kila chumba malipo kodi Mitzi 6
-mahali tabata(kuanzia TBT Bima hadi kimanga ,
Nasubiria private messages almaarufu PM
NB:nahitaji nyumba upesi ikiwezekana ndani ya mwezi huu!
 
Chumba kimoja kinapangishwa kipo makongo,
kipo maeneo ya chini kabla hujapanda juu,
maeneo karibu na uclas-university.
kina sebule, jiko, store, choo, luku, maji ya bomba masaa 24,
na kisima kipo!
Umbali wa mita kama mia hivi kutoka barabarani.
call back: 0756 547184.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom