Gari gani nzuri/durable kwa gharama around Milioni 9?

Gari gani nzuri/durable kwa gharama around Milioni 9?

Prince Hope

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2012
Posts
2,154
Reaction score
447
Habari wanajamvi.
Naombeni msaada kwa wale wenye uzoefu. Kwa kiasi cha milioni 9, naweza kupata gari gani nzuri? Isiwe used kutoka kwa mtu hapa tz, bali imported.

Nilikuwa na mawazo, kujipatia kati ya haya, ila liwe mannual.

1.Corona Premio

2.Carina

3.Rav 4 old model-nikiongeza hela kidogo.

Any challenge please?
 
Samahani kabla ya kukujibu , ningependa hy gari kwa matumizi yepi hasa ,
Masafa marefu
Au matumizi ya kawaida nikiwa na maana mizunguko midogo midogo
 
Samahani kabla ya kukujibu , ningependa hy gari kwa matumizi yepi hasa ,
Masafa marefu
Au matumizi ya kawaida nikiwa na maana mizunguko midogo midogo

family car, kama ni masafa once per year.
 
Rav 4 kaka itakuwa nzuri kama family car , hy ni kwa sbb ya space ( nafasi) inayopatikana pia kwa mafuta nayo ci mbaya sana , nyingi ingine zake ni 3s , angalizo isiwe na ingine ya D4 kwa dar hapo mpaka 13 mil to 15 jiandae bosi
 
Aliyekushauri Rav 4 engine aina ya 3S zingatia ni gari zuri. angalizo lako liwe kwenye engine ni lazima iwe 3s muhimu.
 
Habari wanajamvi.
Naombeni msaada kwa wale wenye uzoefu. Kwa kiasi cha milioni 9, naweza kupata gari gani nzuri? Isiwe used kutoka kwa mtu hapa tz, bali imported.

Nilikuwa na mawazo, kujipatia kati ya haya, ila liwe mannual.

1.Corona Premio

2.Carina

3.Rav 4 old model-nikiongeza hela kidogo.

Any challenge please?
pesa inatosha kabisa hiyo, sema Rav 4 utapata Short Chasis, angalia haya hapa ( http://www.beforward.jp/toyota/rav4/bf115736/id/110376/ , Used CARINA TOYOTA for Sale | BF124254 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD , Used CORONA PREMIO TOYOTA for Sale | BF125744 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD )
 
Rav 4 kaka itakuwa nzuri kama family car , hy ni kwa sbb ya space ( nafasi) inayopatikana pia kwa mafuta nayo ci mbaya sana , nyingi ingine zake ni 3s , angalizo isiwe na ingine ya D4 kwa dar hapo mpaka 13 mil to 15 jiandae bosi

Thank you! Vipi kuhusu mannual? binafsi nakuwa comfortable ku drive mannual.
 
mkuu hayo magari uliyo link mengi ni ya 1996, FOB price iko chini lakini vipi kuhusu penalty ya uchakavu? unaweza ukafafanua jinsi wanavyokokotoa dumping fee?
 
Mkuu kuna chaser nimetoka kuitoa bandarin sasa hvi. Kwa bei hyo nichek humu 0768512931
 
kwa pesa hiyoyo hiyo,tafuta Carina Ti,u wont regret!
 
Back
Top Bottom