Natafuta nyumba ya kununua

Natafuta nyumba ya kununua

joss1973

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2010
Posts
405
Reaction score
103
Natafuta nyumba ya kununua kigamboni au boko au bunju au buyunu au kibaha, tel 0713959290
 
Kigamboni gan mkuu, angalia usije tapeliwa maana ---- mradi kule so unaweza kununua baada ya wiki kadhaa ukaambiwa ubomoe
 
Ipo makongo juu, inauzwa,
nyumba ya room tatu,
imepigwa bati,
inahitaji finishing,
ina eneo kubwa,
call: 0756547184
 
ipo kibaha kwa matias ina vyumba vitatu master bed room na ina gati ndani inauwezo wa kuingiza gari mbili na pembeni ya ndani kuna jengo lenye chumba na sebule kingine nyumba ina teles na gpsam ina umeme na maji inauzwa tsh 40 milion kwa mawasiliano piga simu 0754286329
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom