Natafuta nyumba ya kupanga -Urgent

Natafuta nyumba ya kupanga -Urgent

undugukazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2011
Posts
315
Reaction score
82
Heshima kwa wote!!

Nahitaji nyumba ya kupanga iwe vyumba viwili vya kulala kimoja k
iwe self, iwe na jiko na sitting room na public toilet.

Maeneo:

Chang'ombe, mivinjeni, upanga, mikocheni, maeneo ya victoria na ya karibu na maeneo hayo

Kodi:

Budget ni 250,000/= mpaka 350,000/= kwa mwezi ( kodi miezi sita)

Mwenye nayo ani PM tafadhali.

Ahsanteni!!


 
Wenye nyumba mbona hamumwoni mhitaji?
 
pole huenda usipate jibu kwa mwaka huu.Hiyo nyumba kwa maeneo hayo ni kuanzia US$ 800 kwenda juu au TZS 1.2million. Hiyo bei uliyotaja ni bei ya vyumba 2 tu vyenye choo cha ku share.Labda uende Tandika.Ukihitaji servant quarters/vibanda vya nyuma hivyo weza pata.
 
Jaribu Yombo Sigara au Buza, ni maeneo poa sana, usafiri poa. Lami kupitia Tandika au Jeti. Wanapangisha bei rahisi huko
 
Heshima kwa wote!!

Nahitaji nyumba ya kupanga iwe vyumba viwili vya kulala kimoja k
iwe self, iwe na jiko na sitting room na public toilet.

Maeneo:

Chang'ombe, mivinjeni, upanga, mikocheni, maeneo ya victoria na ya karibu na maeneo hayo

Kodi:

Budget ni 250,000/= mpaka 350,000/= kwa mwezi ( kodi miezi sita)

Mwenye nayo ani PM tafadhali.

Ahsanteni!!


cheki huku Nyumban Real Estate & Consultancy | Properties buying/selling is the dream for everyone, but to find the buyers/sellers with definitive cost is both frustrating and time consuming. Therefore we are here to meet such needs for you. Buy or sell through
 
ingia website ya zoomtanzania.com kwenye real estate click view all kuna nyumba za aina mbalimbali na gharama zake na jinsi ya kuwasiliana na wenye nyumba contact zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom