Nyumba ya kupanga chumba na sebule inahitajika

Nyumba ya kupanga chumba na sebule inahitajika

Babu wa Loliondo

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
323
Reaction score
106
Wasalaaam wanaJF!! Nahitaji nyumba ya kupanga chumba kimoja na sebule, angalau maji yawe yanapatikana karibu kwan najua hilo ni tatizo kwa maeneo mengi hapa DSM kwa
maeneo yafuatayo! Sinza, kijitonyama/makumbusho, kinondoni-vijana, kinondon B !! Bajeti yangu ni TZS 100,000 Naweza kulipa miezi 8 had 10. Kama unaccho tuwasiliane ndugu kwa PM

Nitashukuru sana
 
Back
Top Bottom