Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Vipi wakuu. HTC wildfire slightly used. Inauzwa 200k. Unapata eaphone, usb cable na charger. 0759950757
0 Reactions
1 Replies
708 Views
Ina wiki mbili tangu inunuliwe spec. Ni 500 HD 2Gb RAM Duo core processor 32-bit Wireless,btooth n.k Bei kilo 5 kamili,anaehitaj ani PM nipo DSM. Thanx
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nataka kuanzisha kabiashara ka mixture ya nguo mtumba na special....je ni wapi nitapata robota grade za juu na bei zake, nahitaji robota la sketi, gauni, vipedo, skin jeans, vitop na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwa wanaohitaji kutengenezewa website,blogs,vipeperushi,na other stationaries stuff. contact us maria@dwt.co.tz au 0715878575
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Wadau simu owe Sony Experia au HTC XL,Nina laki tatu pesa taslimu ya kitanzania, # yangu 0659604088,nipo Dar
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samsung galaxy s3 nyeupe, mpya kabisa ndani ya box inauzwa for 720k. Kama uko interested ni pm, au nichek at 0717301520 or whatsapp
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Oi kuna simu mpya hapa nokia asha 200 kwa shilingi 75000 tu za kitanzania wasiliana nami 0718891984
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta ma argent wanaoingiza chewing gum za batook hapa Tanzania nataka niweke kwenye duka langu la jumla, kwa anaye wajua naomba msaada wa contact zao.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Simu.nokia lumia 800 GB .16 rangi.nyeusi Vifaa.vifaa vyote vipo Condition.ipo ktk hali nzuri haina mikwaruzo wala tatizo lolote Bei.3800000 maelewano yapo. nimeitumia miezi 4...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenye information ambapo naweza pata hicho kifaa cylinder head na kemi ya suzuki escudo ,3 doors,nozeli 4. Mwenye kuweza kufahamu anipm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
viwanja 8, kigamboni-kimbiji- karibu na eneo la bush, nusu kilometer mpaka baharini, bei ni millioni 230,000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vipi wakuu. Natafuta used smartphone kati ya: -Tecno N3/N7/version yoyote ya juu...au -Galax S1,,, au -au xperia x10... au -wildfire htc
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wanajamvi Nimeamua kurudi kijijini kuondokana na joto kali la jijini hapa hivyo nauza kagari kangu MARK II GX 110. Bei ni ml. 7.8. Namba ni T 204 BEJ Napatikana katika simu no 07 86 29 45 45
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamvi Nimeamua kurudi kijijini kulima kuondokana na joto la jijini hapa hivyo nauza kagari kangu TOYOTA MARK II GX 110 Bei ni Ml.7.8, Namba ni T 204 BEJ Mteja serious anicheki ktk namba 07...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nokia lumia 750 mpya inauzwa sh lak 5.ni pm
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Magari haya ni mapya kabisa. Yanakodishwa kwa ajiri kutembeza watalii sehemu mbalimbali kama vile kuwatoa Airport kuwapeleka hotelini, kuwatoa hotelini kuwapeleka kwenye vivutio mbalimbali vya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
inahitajika samsung s7562 mwenye nayo tuwasiliane 0774439364
0 Reactions
0 Replies
800 Views
PDIDY BAOBAB OIL CENTRE WAUZAJI WAKUBWA WA MAFUTA YA UBUYU WANAKULETEA PUNGUZO LABEI MAALUM KWA AJILI YAKO WEWE MTEJA MAFUTA YA UBUYU NI MOJA YA VIRUTUBISHO MUHIMU KWENYE MWILIUMUHIMU WA MAFUTA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa wana JF, hivi karibuni majirani zetu (Kenya) serikali yao ilizi-block simu zote walizoziita feki na wakatakiwa kununua simu original. Ombi langu kwenu ninyi wataalamu wa simu naomba...
6 Reactions
27 Replies
23K Views
Back
Top Bottom