Neeeew.niuzie kama unayo.

Neeeew.niuzie kama unayo.

ligolyser

Senior Member
Joined
May 9, 2013
Posts
155
Reaction score
15
Ndg zanguni,ukweli naitaji saaan hii chopper bike,tatizo niko mkoani ila kuna moja nilikuanayo b4 kuna mtu aliniletea toka zanzibar kwa laki 1 na nusu.ila sasa hivi ayupo tena,sasa kama wewe unayo na unauza basi tuwasiliane,
 
Ndg zanguni,ukweli naitaji saaan hii chopper bike,tatizo niko mkoani ila kuna moja nilikuanayo b4 kuna mtu aliniletea toka zanzibar kwa laki 1 na nusu.ila sasa hivi ayupo tena,sasa kama wewe unayo na unauza basi tuwasiliane,

Ukitaka choper Mtafute Paul Sr. au Paul Jr (Bei kuanzia Millioni 20 kuendelea)
American-Chopper.jpg

Au unataka Batavuzi (Scooter), bei kuanzia Laki2
scooter.jpg
 
Hiyo Batavuzi inapatikana wapi kwa hiyo laki 2?
 
Back
Top Bottom