Vocha ya kiwanja cha kimbiji

Vocha ya kiwanja cha kimbiji

gayo

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
238
Reaction score
93
Wakuu nilikuwa nimeomba kiwanja kwenye huu mradi wa viwanja vya kimbiji na yale yale na nimebahatika kupata ila kuna mambo yameingiliana na sina uhakika kama nitaweza kukilipia kwasasa. Hivyo basi kama kuna mtu anakihitaji tuwasiliane (PM) ili kujua la kufanya. Kiwanja kina sqm 400 na garama zote ni kama 3.3M.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom