NOW ON AUCTION by a mnada.co.tz Verified Seller-> a Used Macbook Pro Display: 15.4-inch (diagonal) >>>CURRENT BID TSH 500,000.00/= Click link below to bid. You must be a registered member to...
Je wewe una ofisi na umekuwa ukitumia pesa nyingi kwa kulipia internet? Sasa unaweza kuokoa pesa yako kwa kutumia sh.10,000 kwa week sawa na sh. 40,000 kwa mwezi bila kikomo,(unlimited) huku ukiwa...
habari zenu, nina shida ya chumba cha kupanga(self) maeneo ya mwenge,sinza,makumbusho,victoria,ubungo.
kiwe na umeme na maji.
bajeti yangu ni 100,000.
NB: Kodi miezi sita.
asante.
eneo la geleji linauzwa. Linaukubwa wa mita 70 kwa 35. kwa sasa kuna shughuli za ufundi wa magari zinaendelea. Uzio hupo na upande wa mbele kuna geti na vibanda vya biashara. Eneo limepakana na...
Tablets tables aina ya AvoqPAD zinaunwa bei ya laki sita kila moja
ni imara na zina warrant ya mwaka mmoja, kwa kifupi zina Camera mbele na nyuma, 3g, OS ni android 4.0
ina support ya WIFI...
Kiwanja kinauzwa ukubwa ni qm 8030 kimepimwa na kina hati kwa jina la muuzaji, ndani kuna madarasa 7,jengo la kubwa la kisasa ambalo linatumika kama utawala. Eneo linatumika kama shule na kuna...
Wanajanv,nilikua napitia blog mbalimbali za kupendezesha magar nikakuta kuna majamaa wao unapeleka gari af wanafanya modification ya shoo yoyote ya gari utakayoitaka wanakutengenezea ktk gari...
Kama unahitaji Spea zozote za kumpyuta kama display za laptop size zote (10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea...
Ninauza gari yangu aina ya Noah ya mwaka 1998 ninaitumia kwa shughuli za kifamilia hapa mjini.gari hii iliingia tanzania miaka miwili iliyopita.iko kwenye hali nzuri imetembea km 130548 rangi yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.