Nauza Samsung Omnia wonder(W) inatumia window 7.5
Internal memory 6.67 GB
Ina apps nyingii sana
Social networks like Facebook,whatsapp,viber na skype
Ina package ya Microsoft office so mambo...
HABARI WAKUUU nauza simu aina ya HUAWEI ASCEND Y210-0100 pamoja na laptop mini aina YA SAMSUNG
LAPTOP INA SIFA HIZI:
Hard disk:320 gb
Ram :2 gb
Processor: 1.66 Ghz
Card reader
Web cam...
Balton Tanzania ltd inawakaribisha katika mabanda yao kwenye country zote in Morogoro, Arusha na Dodoma ukajipatie solutions mbalimbali za kilimo. Tendelea www.balton-tanzania.com
Camera Zingine zinauzwa...Kama Title inavyo Sema
Camera Zote Mbili Kwa Lak.Mbili Tuu!! Yani 2 For 2
Camera Used Ya aina Panasonic Lumix Yenye 14.1MP 5X Optical Zoom!!
Na...
FURSA KWA WANAVYUO TO MAKE EXTRA MONEY THIS HOLIDAY!Umeshawahi kujiuliza wewe kama mwanachuo:
· Ni namna gani nitafanya business ya kuniingizia kipato cha kutosha pasipokuathiri masomo...
Je, unahitaji logo (nembo) kwa ajili ya mradi au biashara yako? Bei ni 90,000/- tu. Ofa ya bure! 1. Letterhead Template 2. Proforma Invoice Template 3. Tax Invoice Template na 4. Biz Card...
Salam wakuu, napenda kutambulisha kwenu duka la kwanza na pekee la ASALI halisi na bora toka HONEY SPRING. duka lipo katika ghorofa la LOTTOS mkabala na ofisi za bima.
Asali hii inatoka mkoani...
Wadau mwenzenu nina shida ya fedha ya haraka nimepungukiwa kama Million nne, nipo Dar nimeamua kuuza Plot yangu fasta, Ipo Dodoma ni kiwanja cha mradi kilitolewa na CDA katika mradi wa April 2006...
Nipo DSM,Natafuta used laptop iliyo katika condition nzuri, long battery life na iwe cheap, kwa yeyote anayeuza anipm, usisahau kuweka specifications zake pamoja na bei. Thanks for your time and...
Wakuu naombeni msaada,nna 8milions nataka kuagiza used Carina car direct from japan ya mwaka 2000/2,swali ni kwamba,je hiyo amount inatosha?jinsi ya kuagiza ndo mgeni kabisaaaa,naskia tu sjui...
Lumia 620 ,black OR (any colour), 8GB, <month used,with ALL accessories + BOX.
its WINDOWS 8 and upgraded to any window.
NB: supports Instagram,Skype,viber, whatsapp and many more!
pics...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.