Michael Paul
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 403
- 319
Wakuu... anayefanya biashara ya kuuza hizi simu za Huawei IDEOS U8150 plz tuwasiliane
unaweza kunisaidia sehemu gani nairobi naweza pata simu za mkononi na vifaa vya computers kama external hardisk etc za kuzaa kwa bei poa??Kama unataka za biashara nenda Nairobi kwenye maduka ya Safaricom wanaziuza kuna wakati walikuwa wanauza kwa Tsh 70,000 ila kwa sasa sijui,angalia kwenye website yao,uzuri hizo za Safaricom ni unlocked tofauti na za Tigo
70,000 ya Kenya au Tanzania?
70,000 ya Kenya au Tanzania?