Kitambulisho hiki ni hazina kubwa sana
Nimekiokota maeneo ya Tabata-Saibaba Kura moja inaweza kuleta mabadiliko makubwa kwa kuwa ilikuwa barabarani sikweza kukikabidhi mahali popote
Yeyote...
Sumsung mini laptop intel atom 1.66ghz,2gb ram,200gb hdd,wifi,bluetooth,webcam,3.0 usb ports,sd card slot 5HOURS Of CHARGE,ts in a mint condition windows 8 installed!location...
Jipatie huduma zifuatazo kutoka katika kampuni tajwa hapo juu
1.Pata ramani za nyumba katika usanifu wa kisasa
2. kufanyiwa estimate Za ujenz wa building and civil works
3.Survey works I.e...
Wakuu shamba linauzwa lipo kibaha tumbi km 9 kutoka tumbi hospitali, liko eneo linalotwa boko mnemela lina ukubwa wa ekari mbili na ukitaka kupata hekari moja pia unaweza kukatiwa.
Bei kwa heka ni...
specification zake ni hard disk ni 160 gb, ram ni 1 gb na processor ni 1.67
bei yake ni 270,000 pungufu kidogo tunaweza ongea. mawasiliano 0713532322 dar es salaam
wadau kwayule mwenye kuitaji chumba nasebule maeneo yatemeke mwisho mtaa wa njinjoo bei elf 50000 kwamwezi ila mpangaji atatoka tarehee 16 mwezi wa nane kisha unapaswa kulipia miezi iliobaki...
Natafuta kukodi Scaford kwa ajili ya slub.
Tafadhari kama unazo na unakodisha au unamfahamu aliyenazo na anakodisha
tuwasiliane 0754 443 443
Haraka iwezekanavyo.
Habari waungwana,
Naomba msaada wenu, ni wapi naweza kupata simu TECNO N7 kwa Dar es Salaam.
Pia napenda kujua naweza kuipata kwa shilingi ngapi kwa sasa?
Nipo Ifakara, Morogoro.
Plot inauzwa Mpiji darajani, ni karibu na bunju mwisho, karibu na bara bara, dakika 5 kutoka barabarani kwa mguu.. ina upana wa foot 20 na urefu wa foot 30... bei ni 4.7M..
kwa mawasiliano...
Office space available for rent at TIRDO Complex - Msasani with Square Meters: 750, Easy access from Kimweri Avenue Road.
Features:
* Electricity-Mains supply
* Shared Water supply.
*...
Yule bingwa wa dawa za asili kutoka Tanga dr Alhaji Yahaya .ni bingwa kutoa mazindiko ndani ya miji sasa yupo kanda ya ziwa ni Lamadi Magu. Ni bingwa wa kufanya biashara yako iwe nadhifu, kuosha...
Program ya iCare Data Recovery ina uwezo mkubwa wa kurudisha data zote zilizopotea au zilizocorrupt katika flash. Bei ya kurudisha data hizo inategemea na ukubwa wa flashi yako. Kwa mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.