Viwanja vinauzwa Bunju A

Viwanja vinauzwa Bunju A

Mais

Member
Joined
May 5, 2013
Posts
56
Reaction score
12
Viwanja vinauzwa maeneo ya Bunju ‘A’ (Kiondo area). Vipo kilomita 3 toka barabara ya Bagamoyo. Bei ni kama ifuatavyo: Ukubwa unaanzia 20 X 20 (Tshs. 12mil.) hadi 25 X 30 (Tshs. 16 mil). Ukihitaji vipimo vya kiwanja kiongezeke kutokana na matakwa yako, inawezekana pia. Maelezo zaidi piga: 0684 975514
 
kulipa kwa kuwekeza inawezekana mpaka mtu anamaliza deni?kila mwezi 2m
 
Viwanja vinauzwa maeneo ya Bunju ‘A' (Kiondo area). Vipo kilomita 3 toka barabara ya Bagamoyo. Bei ni kama ifuatavyo: Ukubwa unaanzia 20 X 20 (Tshs. 12mil.) hadi 25 X 30 (Tshs. 16 mil). Ukihitaji vipimo vya kiwanja kiongezeke kutokana na matakwa yako, inawezekana pia. Maelezo zaidi piga: 0684 975514

Vina hati au ndio shoto-kulia?
 
Kila kitu kipo sawa kwenye hivyo viwanja. Hela yako tu.
 
Viwanja vinauzwa maeneo ya Bunju ‘A’ (Kiondo area). Vipo kilomita 3 toka barabara ya Bagamoyo. Bei ni kama ifuatavyo: Ukubwa unaanzia 20 X 20 (Tshs. 12mil.) hadi 25 X 30 (Tshs. 16 mil). Ukihitaji vipimo vya kiwanja kiongezeke kutokana na matakwa yako, inawezekana pia. Maelezo zaidi piga: 0684 975514

Vina hati?
 
Viwanja vinauzwa maeneo ya Bunju ‘A’ (Kiondo area). Vipo kilomita 3 toka barabara ya Bagamoyo. Bei ni kama ifuatavyo: Ukubwa unaanzia 20 X 20 (Tshs. 12mil.) hadi 25 X 30 (Tshs. 16 mil). Ukihitaji vipimo vya kiwanja kiongezeke kutokana na matakwa yako, inawezekana pia. Maelezo zaidi piga: 0684 975514
Mkuu nahitaji nivione
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom