Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

hallow, jaman mwenzenu nauza asali mbichi kwa dum la lita ishirini laki na ishirini, kwa mwenye mahitaj namba zangu ni 0785734279
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Make Suzuki curry model M-DB71T Engine capacity: 540 cc Mileage: 54769 Year of reg: 1990 Kununua na maelewano tafadhari tuwasiliane kwa email; punguzosokoni@gmail.com au kwa simu 0753461069.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ram2gb,1.6ghz,hdd 320gb..In good condition
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za Leo Wakuu? Nna Ndugu yangu ni mwajiriwa wa Serikalini,(Mwanasheria wa Serikali) yupo katika Process za kuchukua Mkopo kwa Mambo yake Personal, At the same time anahitaji sehemu ambayo...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
GSM-MIN PAD inauzwa Android version 4.0.3 internal memory 2gb Screen size W=3.3 inch L=6.6 inc price= 130,000/= contact 0684866081
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mercedes benz,ML 350,engine 3.7L,mileage 94,000,Year-2005,haijatembea hapa TZ,Bei ni maelewano,wasiliana nami 0657690970
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Compaq CQ58 Laptop Inauzwa Laki Saba tu (700,000) Imetumika kidogo sana (Kwa matumizi ya Adobe CS6 zaidi), inakuja na box lake na kila kitu kilichonunuliwa nayo. Inakaa na battery masaa matano...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
baraka solar specialist ni private company ambayo inajihusisha na maswala ya umeme wa jua,ukizingatia asilimia kubwa ya nchi yetu haijafikiwa na umeme wa grid ya taifa hivo tumeona sio vibaya...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Jipatie laptop aina ya Compaq yenye specifications zifuatazo Harddisc 80GB RAM 2GB SPEED 1.8 Laptop ni nzuri sana na utaipenda ukiiona mwenyewe kila kitu safi isipokua battery inachukua dak 15...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ina 3bedrooms,umeme na maji pia gari inafika nyumbani.Plot size,pana35m*47m,pbei 80milioni.0754 856277
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni mpya, kwenye box na vifaa vyote bei 700,000. If interested holla.
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Kuna kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya jangwani kariakoo, Ukubwa 50m Kwa 50m. Kwa anayehitaji tuwasiliane..
0 Reactions
3 Replies
1K Views
This can't be real. Are you giving free money? No, we are not giving away free money. We are paying you in order togenerate traffic to our website. We will get paidfrom our advertisers...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
nimemaliza udom Bsc-ed degree (chemistry&biology),physics pia nafundisha o-level!unashule yako au college yako nicheki 0763490332,mazungumzo yakiwa mazuri naweka mkataba kabisa.......karibu...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Salaam wakuu, im looking for a project car, preferably a 1956 Ford F100 Pickup, Inatakiwa iwe haijaliwa na kutu, ikiwa na parts zake nyingi itakuwa vizuri zaidi. Bei Maelewano. Pia kama una gari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni Nyumba ipo Sinza kwa Remi, mtaa kama wa3 kutoka barabarani,Sinza B
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Tsh. 125,000 niko dar magomeni mwembe chai contact 0758929087
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa ya bedroom nne mitaa ya Njiro container, Arusha. Mtaa wa nyuma ya stand ya container. Inahitaji matengenezo kiasi ila unaweza ishi. bei ni 81M (81,000,000) Kwa mawasiliano piga...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ya bedroom nne mitaa ya Njiro container, Arusha. Mtaa wa nyuma ya stand ya container. Inahitaji matengenezo kiasi ila unaweza ishi. bei ni 81M (81,000,000) Kwa mawasiliano piga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salama wakuu? Nahitaji kununua satellite dish na decoder nzuri ambazo zitanifaa kwa mikoa ya kanda ya ziwa. Bei na ubora vizingatiwe. Twafadhari. Natanguliza shukrani. Sent from my BlackBerry...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom