Habari za leo wanajamii.
Kati ya post zangu za hapo nyuma niliongelea application niliyotengeneza ya kuondoa sauti za waigizaji kwenye movie za netflix ili niweze kuweka sauti za kiswahili.
Kwa...
Iwe na Engine 4A, 5A na Automatic Gearbox (manual tutaongea)
Iwe imetunzwa vizuri hasa body liwe limenyooka
Namba yeyote lakini bora zaidi kuanzia B, C, D
Iwe popote tanzania iweze kufika Dar...
Ofisi ilikua inatumika kwa kazi 1 tu kudownload PESA wazee wa FOREX tunaelewa hayo mavitu yalivyo eeh.
OFISI ina COMPUTER mpya (not refurbished) ni BRAND NEW desktop PC (HP BRAND 6TH GEN ALL IN...
JTC ni kampuni ya kitanzania inayojishughulisha na ujenzi wa Tarazo.
Tarazo ni finishingi inayofanyika ktk sakafu au kuta za nyumba/jengo km zilivyo tiles/vigae, tarazo ni mchanganyiko wa vipande...
Habari wakuu.
Nauza laptop yangu Apple, Macbook Pro.
Laptop hii nilinunua toka USA kwenye store za Apple kabisa.
Display: 13 inch
Processor: Core i5
Memory (RAM): 16GB
Graphics: Intel 1.5GB...
Natafuta chumba kizuri sana mitaa ya Mwenge kiwe master, choo, bafu, jiko na mahitaji yote muhimu.
Kiwe eneo lenye usalama wa kutosha na kiwe jirañi na lami.
Chumba hiki ni kwa ajili ya wageni...
salamu wanajukwaa!
nina shamba ambalo nimeamua nipimishe viwanja.nimepata mchoro toka wizara ya ardhi sasa nahitaji ushauri na bei elekezi za upimaji viwanja.
eneo lina heka 20 liko mkoa wa...
Habari,lengo ni kununua gari.
Nauza bajaji yangu aina ya TVS king. Haina tatizo lolote.
Ipo Dar Chamazi.
Kwa mawasiliano njoo PM
Bei milioni sita.(6,000,000)
Natumaini mpo salama Napenda kuchukua fursa hii kuelezea dhamira yangu ya kuwa mshauri wa biashara kwa wajasiriamali, wafanyabiashara, na kampuni mbalimbali.
Ukitaka kufanya biashara yoyote ile...
Jipatie ZENADO HONEY, ni Asali bora inayo fanyiwa parkeging na Kampuni ya MKONDO INTERNATIONAL FOOD AND HONEY SUPPLIES LTD. ZENADO HONEY ni Asali bora iliyokidhi viwango vya kimataifa. Kwa...
Habar za humu wakuu. Nahitaji kufungua offisi ya uwakala wa kutoa huduma za kuweka na kutuma pesa. Sasa nahitaji mtu mzoefu anijuze hizi laini zinauzwaje na pia mtaji wa hii biashara ni shilingi...
Karibu KP ELECTRICALS
[emoji362] Tunafanya wiring na maintenance za majumbani, viwandani na kwenye workshops.
[emoji362] Tunafanya wiring na backup za solar systems zote
[emoji362]Tumebobea...
Kuna tangazo humu niliona kuna kampuni wanauza site za migodi mbalimbali ya graphite na makaa ya mawe ila nimejaribu kusearch thread sijaipata.
Well Nina offer hiyo kwa anayemiliki mgodi wa makaa...
Hii ni pasi inayotumia mvuke wa maji. Ni rahisi sana kutumia kwani haiunguzi nguo hata ukiwa na haraka. Kwa wale wenye maduka ya nguo za mitumba hii itawafaa zaidi kwenye biashara zao ila...
Utalii wa Majini
Miongoni mwa maeneo ambayo utaweza kufanya utalii wa majini na nchi kavu basi hifadhi ya taifa Saadan ni miongoni mwa hifadhi ambayo inaweza kukupatia utalii wa aina iyo...
Tunatoa huduma ya kudesign CV za kisasa na zinazo vutia, pia tuna andika CV kwa ubunifu wa hali ya juu.
Kwa mawasiliano: 0628673444 au Whatsapp 0767673440.
Baadhi ya mifano ya kazi zetu.
Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.