Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Pagale linauzwa Kigamboni Cheka ina vyumba vitatu kimoja ni master, jiko,sebule,dining. Ipo mita 300 kutoka barabara ya lami ukubwa 30 × 20 Bei:- million 25 maongezi yapo Call/WhatsApp:-...
0 Reactions
3 Replies
949 Views
NANUNUA,NAFUNGA NA KUSAFIRISHA BIDHAA KUTOKA KARIAKOO KWENDA MIKOA YOTE TANZANIA NA NCHI JIRANI. HUDUMA ZA ZIADA 📌Nafuata,nafunga na kusafirisha bidhaa iliyokwisha kununuliwa Kariakoo kupitia...
7 Reactions
132 Replies
10K Views
Mvua zishaanza hizi, jipatie mkaa mzito na mgumu kwa bei nzuri na rahisi gunia Tsh. 50,000/= Free delivery kwa wakazi wa Temeke. Mawasiliano: 0766252508
0 Reactions
1 Replies
449 Views
Mvua ndio hizo wadau, usiache shamba lako au nyumba yako ikae kinyonge tuone ''DANI GARDEN" Tunauza Miche mbalimbali ya matunda kama miembe, mipera, michungwa, milimao, ndimu n.k yote imefanyiwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
ANVIZ T5 Pro - Ni mpya - Unaweza tumia kama Access Control na Time/Attendance system - Inatumia Fingerprint na MFID Cards - TCP/IP, RS485 na Mini USB Port Bei ni 350,000/=
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau bila kuwachosha. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza kwa ufasaha zaidi mwenye bidhaa hiyo au pengine anafahamu inakopatikana kwa wingi tupeana connection.
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Samahani wapendwaa natafuta soko la majani ya chai kwa grade zote Bf1 na Bf2, hivyoo kwa mtu yoyote anaejua connection na watu wanaoweza kununua naomba aniunganishe nao, awali wanunuzi wangu...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Habari, Kama kichwaa kinavo jielewaa hapo juu, natafuta soko la majani ya chai kwa grade zote yaan Bf1 ubora wa kwanzaa na Bf2 ubora wa pili, majani yapo ya kutoshaa, hivyo naomba mwenye...
1 Reactions
0 Replies
687 Views
Small deep freezer, used needed. Hello wakuu nahitaji deep freezer Kadogoo kwa ajili ya kuwekea chakula cha mbwa wangu , sio mpya wakuu , Itakuwa vizuri sana kama kako ARUSHA , bei iwe rafiki ...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Wakuu nahitaji modem ya TTCL Kwa mtu yoyote ambae anauza na Yuko Dodoma please nidm Nataka Ile ambayo ina WiFi na mtu zaidi ya mmoja anaweza kukonect
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Hard disk za laptop mpya 500 GB = 45,000 tsh Ukihitaji kuanzia mbili bei inapungua kwa mawasiliano zaidi 0621 089 762 tupo dar es salaam
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ina kodi ya miaka 8,imetazama barabara unaweza kuuza vipodozi, vitenge, mashuka mapazia, nguo n.k, ipo lumumba Mwanza mjini 0717072172
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Tunatoa Huduma za kitaalamu za Electrical, Electronics na Smart Security system HUDUMA ZETU 1.kuunda kifaa au kutengeneza mchoro wa kifaa cha kielectronics kulingana na wazo(idea) ya mteja,kwa...
1 Reactions
0 Replies
552 Views
Ofa pata madirisha na milango ya Aluminium kwa bei zifuatazo Dirisha la futi 5x5 ni 260,000 Dirisha la futi 5x6 ni 270,000 Dirisha la futi 6x6 ni 280,000 Dirisha la futi 6x7 ni 300,000 Dirisha la...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za asubuhi. Ninauza kabati la milango mitatu, material ya MDF kwa sh. 350,000 Pia nauza washing machine kwa sh. 550,000 Dolphin, automatic, 12 kg Inafua, kukamua, na kukausha kwa 90% Ina...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tunauza mashine za kisasa kwa ajili ya kutengenezea chakula chakula cha mifugo kwa mfumo wa chenga chenga (pellets) ● Bei zetu na uwezo wake kwa saa. 100kg/hr=1,700,000/= 150kg/hr=1,800,000/=...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nguo jumla zipo zenyewe ni kadet zipo 4 jeans zipo 3 track suit 1 Size ya kiuoni ni 30/31 nguo zote. Nakuuzia zote na bag nakupa Bure kwa jumla 40,000 tu. location: Ubungo Kibangu nitumie...
1 Reactions
13 Replies
736 Views
Jipatie Google Pixel 5 yenye 5G iliyotumika USA (Second Hand) Warranty 6 Months Imenyooka sana Grade A imetumika kwa upendo sana 0764081567 Free Charger Free Cover Free delivery in Dar...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Anaeuza paka chotara, nanunua naomba tuwasiliane... 0625489043
1 Reactions
0 Replies
393 Views
Kama kichwa kinavojieleza, Tafadhali nielekeze nakoweza kuyapata. Asante.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom