Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za leo wanajamii. Kati ya post zangu za hapo nyuma niliongelea application niliyotengeneza ya kuondoa sauti za waigizaji kwenye movie za netflix ili niweze kuweka sauti za kiswahili. Kwa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Iwe na Engine 4A, 5A na Automatic Gearbox (manual tutaongea) Iwe imetunzwa vizuri hasa body liwe limenyooka Namba yeyote lakini bora zaidi kuanzia B, C, D Iwe popote tanzania iweze kufika Dar...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Ofisi ilikua inatumika kwa kazi 1 tu kudownload PESA wazee wa FOREX tunaelewa hayo mavitu yalivyo eeh. OFISI ina COMPUTER mpya (not refurbished) ni BRAND NEW desktop PC (HP BRAND 6TH GEN ALL IN...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
JTC ni kampuni ya kitanzania inayojishughulisha na ujenzi wa Tarazo. Tarazo ni finishingi inayofanyika ktk sakafu au kuta za nyumba/jengo km zilivyo tiles/vigae, tarazo ni mchanganyiko wa vipande...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nauza laptop yangu Apple, Macbook Pro. Laptop hii nilinunua toka USA kwenye store za Apple kabisa. Display: 13 inch Processor: Core i5 Memory (RAM): 16GB Graphics: Intel 1.5GB...
1 Reactions
59 Replies
4K Views
Natafuta chumba kizuri sana mitaa ya Mwenge kiwe master, choo, bafu, jiko na mahitaji yote muhimu. Kiwe eneo lenye usalama wa kutosha na kiwe jirañi na lami. Chumba hiki ni kwa ajili ya wageni...
6 Reactions
8 Replies
1K Views
salamu wanajukwaa! nina shamba ambalo nimeamua nipimishe viwanja.nimepata mchoro toka wizara ya ardhi sasa nahitaji ushauri na bei elekezi za upimaji viwanja. eneo lina heka 20 liko mkoa wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nahitaji kifaa hiki kwa ajili ya ufugaji wa nyuki. Kinapatikana wapi kwa bei nzuri?
0 Reactions
3 Replies
557 Views
Habari,lengo ni kununua gari. Nauza bajaji yangu aina ya TVS king. Haina tatizo lolote. Ipo Dar Chamazi. Kwa mawasiliano njoo PM Bei milioni sita.(6,000,000)
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natumaini mpo salama Napenda kuchukua fursa hii kuelezea dhamira yangu ya kuwa mshauri wa biashara kwa wajasiriamali, wafanyabiashara, na kampuni mbalimbali. Ukitaka kufanya biashara yoyote ile...
1 Reactions
9 Replies
649 Views
Jipatie ZENADO HONEY, ni Asali bora inayo fanyiwa parkeging na Kampuni ya MKONDO INTERNATIONAL FOOD AND HONEY SUPPLIES LTD. ZENADO HONEY ni Asali bora iliyokidhi viwango vya kimataifa. Kwa...
0 Reactions
3 Replies
724 Views
Habar za humu wakuu. Nahitaji kufungua offisi ya uwakala wa kutoa huduma za kuweka na kutuma pesa. Sasa nahitaji mtu mzoefu anijuze hizi laini zinauzwaje na pia mtaji wa hii biashara ni shilingi...
1 Reactions
19 Replies
33K Views
Rav4 Miss Tanzania Cc2360 Bei M16.7 0783299186 0r 0716095123 Haijarudiwa rangi
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Karibu KP ELECTRICALS [emoji362] Tunafanya wiring na maintenance za majumbani, viwandani na kwenye workshops. [emoji362] Tunafanya wiring na backup za solar systems zote [emoji362]Tumebobea...
1 Reactions
1 Replies
497 Views
Nauza ps3 slim complete kwa laki mbili na sitini tu.. Ina HDMI pad 2 charger power wire Nipo Dar mwenye uhitaji anicheki [emoji400]
1 Reactions
4 Replies
741 Views
Kuna tangazo humu niliona kuna kampuni wanauza site za migodi mbalimbali ya graphite na makaa ya mawe ila nimejaribu kusearch thread sijaipata. Well Nina offer hiyo kwa anayemiliki mgodi wa makaa...
0 Reactions
2 Replies
578 Views
Hii ni pasi inayotumia mvuke wa maji. Ni rahisi sana kutumia kwani haiunguzi nguo hata ukiwa na haraka. Kwa wale wenye maduka ya nguo za mitumba hii itawafaa zaidi kwenye biashara zao ila...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Utalii wa Majini Miongoni mwa maeneo ambayo utaweza kufanya utalii wa majini na nchi kavu basi hifadhi ya taifa Saadan ni miongoni mwa hifadhi ambayo inaweza kukupatia utalii wa aina iyo...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Tunatoa huduma ya kudesign CV za kisasa na zinazo vutia, pia tuna andika CV kwa ubunifu wa hali ya juu. Kwa mawasiliano: 0628673444 au Whatsapp 0767673440. Baadhi ya mifano ya kazi zetu. Bei...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom