Jipatie mayonnaise nzuri.
Q MAYONNAISE ni nzuri, bora na ya kizalendo na kwa bei rahisi sana, jumla na rejareja, tunakufikishia popote hapa DSM, tunatuma kwa waliopo mikoani.
Inapatikana kwa...
Salama wakuu?
Nauza kiwanja Mtwara Mjini bei 6Milioni.
-Kipo magomeni, 1 km kutoka stendi kuu ya mabasi Mtwara.
-kuna banda watu wanakaa
-kipo jirani na chuo cha afya COTC
-Kimepimwa sqm 317...
Habari wadau, mimi ni mkulima kutoka Mtwara Mkoani nina muhogo hekari tatu na upo tayari kuliwa nina tafuta soko la kuchimba mzigo wote kwa mkupuo. [emoji1488] # 0693 391 566
Bei ni elfu 25 tu kwa koti moja,mawili ni elfu 45.
Tunapatikana Makumbusho, Tunafanya delivery kokote ulipo.
Material ya kitambaa ni tetron laini inayong'aa, rahisi kufua na kupiga pasi...
Habari
Nauza Asali mbichi ya nyuki wakubwa kwa jumla na rejareja,
Asali hii sio ile ya kupika jamani niwaahidi hilo
Asali ina faida nyingi sana kwenye mwili wa binaadam kwa uchache tu
*Huondoa...
Tarehe ya leo itabaki kwenye kumbukumbu zangu kuwa tarehe ya mwisho kuwepo kazini. Aisee, baada ya kuchoka na uvivu uliokithiri leo natangaza rasmi kuacha kazi wakuu.
Kwasasa nitakuwa napatikana...
CAM STORE - MITUPIO- MABARO YA MTUMBA
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba tumeanza rasmi biashara za nguo na viatu vya mitumba jumla na rejareja, tunatuma mikoani
Mawasiliano
0762212623...
MWALIMU CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE - HUDUMA YA MANA - SEMINA, MOSHI, KILIMANJARO TAREHE 16 MPAKA TAREHE 20 FEBRUARI 2022.
Bwana Yesu Asifiwe!
HUDUMA YA MANA - MANA MINISTRY - Mwalimu...
Nahtaji mashina ya ps4 used, ikiwa mpya pia tutazungumza kama bei itakua rafiki kwangu.
Kwa aliyenayo nje ya Mwanza, nalipa baada ya kupokea machine pia isiwe na changamoto yoyote kuanzia pad...
Habari wadau.
Appartment ya vyumba viwili vya kulala. Sebule jiko na choo inapangishwa maeneo ya tabata kisukulu. Ni 3km ukitokea Mandela Road EPZA ama TFDA office ubungo external.
1. Nyumba...
“Generally, real estate is cyclical. You have to buy in a way that lets you afford the cycles. And you have to know where you are in the cycle.”
Charles Brown
Kukaa na kusubiri soko ya ardhi na...
Nauza gari yangu binafsi ninayoitumia kila siku ,gari ni nzima haina shida yoyote Kama inavyoonekana kwenye picha, karibu ukihitaji kukagua nipigie 0685587887
Wadau nawakaribisha mashine za kukamua na kuchuja juisi ya miwa
Ni imara na bora na zinatumia umeme mdogo sana
Tunaziuza kwa 1350000 tu ewe mjasiriamali ongeza kipato chako kwa hii mashine...
Hello wana jamvi unahitaji mashine ya kutengeneza ice lolly wengi mtaani tumezoea tunaziita lambalamba utazipata kwetu na tunakupa ushauri bureee,
Hizi mashine ni nzuri sana hasa hiki kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.