Kiwanja kinauzwa Milioni 20 kwa ukubwa wa upana miguu 35 na urefu 40.,kipo kata ya meter chache kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa...,
Sio cha kuchimba na kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya familia au...
Nina anzisha huu maalumu kwa mtu yoyote anayetafuta vitu kutoka UK. Hasa magari makubwa(HGVs), heavy equipment, agricultural equipment na magari madogo kama Range Rover, for a reasonable price...
Ensol tunawaletea kwenu huduma mpya ya kifaa cha “Solar Water Heater”
Hiki kifaa kimeletwa kwenu maalum kuhakikisha unapunguza gharama za kuchemsha maji kwa ajili ya kuogea na shughuli zingine za...
Bei; 165,000 tu. 0683011003
Inafaa kwa kazi zote zinazofanywa na Projector
Kuonesha mpira
Kutazamia movie
Kusomea
Location: Ipo Tabata kisukuru Dar e salaam
Hello ndugu zangu nawasalimu. Tumeanzisha huduma ya kuuza magodoro na kukuletea mpaka ulipo bure popote dar Wanajamii wenzangu nizidi kuwakaribisha. Godoro zote na kampuni zote utazipata kwetu...
Good morning, Je,? Una mtoto ambaye ni mzito kwa sababu ya changamoto ya kimazingira(Environmental challenge) Kihisia(Emotional disorders) kimwili (physical disorders mfano ulemavu ,blindness ...
Nataka kununua Toyota wish namba D aya mwanzoni iwe nyeusi kwa 7M kama unayo naomba namba tufanye biashara hata ikiongezeka laki tatu ya dalali sio mbaya
Husika na kichwa hapo juu ninatafuta gari ya kununua Toyota ALLEX number kuanzia DY offer ipo 12 ubaoni
[emoji404]:Kama ni dalali ukija sema Kama ni owner Pia ukija sema punguza maneno matendo...
Kibaha kwa mfipa(upande wa chuo)
Toka moro road unatembea tu, kwa boda ni buku
20×20(Sqm 400)
Kila kimoja ni million 4 tu
Kupelekwa site ni 10k
0744757738
Sent from my Infinix X657B using...
Wakuu Kiwanja kinauzwa.
Kipo Kibamba Shule kituo kinaitwa Bwawani kama unaelekea Kibwegele.
Ukitembea kwa mguu ni mwendo wa dakika 3 hadi 4 kutoka barabara kubwa.
Ukubwa ni 20 × 20.
Bei ni 5.5M...
Habari wakuu,
Nauza duka langu la vifaa vya ujenzi lililopo kibamba Dar es salaam maeneo ya Kibwegere duka linathamn ya m8. ( Milioni nane)
Mawasiliano yangu ni 0656052164.
Kwa mtu yoyote anayeielewa mitaa ya makuburi na External aniambie mtaa mzuri ninaoweza kupata nyumba nzuri ya kupanga... average standard, sina familia.
Mitaa ambayo nitapata usafiri kirahisi.
Happy lishe ni unga wa lishe bora kabisa; uliyosheheni virutubisho vitakavyompa mtoto wako ukuaji mzuri wa mwili na akili.
Unga wetu unapatikana kwa bei ya Tsh. 4,000 kwa ujazo wa kilogram 1...
Habari za humu ndani nimejichanga nikaona sio mbaya kukusanya TV za mtumba na kuja kuziuza kwa wale wanaopendelea vitu vya mtumba.
Ninazo makampuni tofauti tofauti kuanzia Lg, PHILIPS, Hitachi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.