Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Rav 4 Manual Gear Mwenye mbio akimbilie Nataka 6.5M Gari nzima Ipo Kibaha 0744757738 Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
0 Reactions
9 Replies
777 Views
Kiwanja kinauzwa Milioni 20 kwa ukubwa wa upana miguu 35 na urefu 40.,kipo kata ya meter chache kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa..., Sio cha kuchimba na kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya familia au...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Nina anzisha huu maalumu kwa mtu yoyote anayetafuta vitu kutoka UK. Hasa magari makubwa(HGVs), heavy equipment, agricultural equipment na magari madogo kama Range Rover, for a reasonable price...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Ensol tunawaletea kwenu huduma mpya ya kifaa cha “Solar Water Heater” Hiki kifaa kimeletwa kwenu maalum kuhakikisha unapunguza gharama za kuchemsha maji kwa ajili ya kuogea na shughuli zingine za...
1 Reactions
35 Replies
12K Views
Piga 0713 039 875
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Bei; 165,000 tu. 0683011003 Inafaa kwa kazi zote zinazofanywa na Projector Kuonesha mpira Kutazamia movie Kusomea Location: Ipo Tabata kisukuru Dar e salaam
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Hello ndugu zangu nawasalimu. Tumeanzisha huduma ya kuuza magodoro na kukuletea mpaka ulipo bure popote dar Wanajamii wenzangu nizidi kuwakaribisha. Godoro zote na kampuni zote utazipata kwetu...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Good morning, Je,? Una mtoto ambaye ni mzito kwa sababu ya changamoto ya kimazingira(Environmental challenge) Kihisia(Emotional disorders) kimwili (physical disorders mfano ulemavu ,blindness ...
0 Reactions
0 Replies
532 Views
Nataka kununua Toyota wish namba D aya mwanzoni iwe nyeusi kwa 7M kama unayo naomba namba tufanye biashara hata ikiongezeka laki tatu ya dalali sio mbaya
0 Reactions
2 Replies
978 Views
Husika na kichwa hapo juu ninatafuta gari ya kununua Toyota ALLEX number kuanzia DY offer ipo 12 ubaoni [emoji404]:Kama ni dalali ukija sema Kama ni owner Pia ukija sema punguza maneno matendo...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Kibaha kwa mfipa(upande wa chuo) Toka moro road unatembea tu, kwa boda ni buku 20×20(Sqm 400) Kila kimoja ni million 4 tu Kupelekwa site ni 10k 0744757738 Sent from my Infinix X657B using...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Kiwanja kinauzwa. Kipo Kibamba Shule kituo kinaitwa Bwawani kama unaelekea Kibwegele. Ukitembea kwa mguu ni mwendo wa dakika 3 hadi 4 kutoka barabara kubwa. Ukubwa ni 20 × 20. Bei ni 5.5M...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Njoo na 7.5M uchukue IST Cc 1290, Piga simu 0717072172, Gari ipo Mwanza
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini Wadau. Napenda kuwasalimu kwa jina la JMT🇹🇿. Naomba Kama kuna mwana Jamii aliye mpakani na Rwanda naomba tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nauza duka langu la vifaa vya ujenzi lililopo kibamba Dar es salaam maeneo ya Kibwegere duka linathamn ya m8. ( Milioni nane) Mawasiliano yangu ni 0656052164.
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Inauzwa ipo Businde nyuma ya airport Kigoma mjini. Bei 25,000,000 0689616537 Vyumba 4, kimoja masters, sebule kubwa, dinning, jiko,stoo. Kiwanja 18 kwa 25.
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Nauza simu iPhone 6+ [64GB] clean haina shida yoyote Njoo na 220,000/= tumalize biashara 0676321372 📞 Dar 📍
0 Reactions
1 Replies
670 Views
Kwa mtu yoyote anayeielewa mitaa ya makuburi na External aniambie mtaa mzuri ninaoweza kupata nyumba nzuri ya kupanga... average standard, sina familia. Mitaa ambayo nitapata usafiri kirahisi.
1 Reactions
0 Replies
418 Views
Happy lishe ni unga wa lishe bora kabisa; uliyosheheni virutubisho vitakavyompa mtoto wako ukuaji mzuri wa mwili na akili. Unga wetu unapatikana kwa bei ya Tsh. 4,000 kwa ujazo wa kilogram 1...
1 Reactions
0 Replies
563 Views
Habari za humu ndani nimejichanga nikaona sio mbaya kukusanya TV za mtumba na kuja kuziuza kwa wale wanaopendelea vitu vya mtumba. Ninazo makampuni tofauti tofauti kuanzia Lg, PHILIPS, Hitachi na...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom