Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

used,ipo katka hali nzuri.. haina ubovu wowote,unapata na charger yake na earphone zake.. bei:85000 (inaweza kupungua)
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Apartment inauzwa eneo ni Mikocheni, karibu na maeneo ya kwa Warioba. kwa lile jengo wapangaji wanalipa kodi usd 2500. kwa mawasiliano 0773 944 944
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Pata tecno N7 kwa 278,000/. kwa mawasiliano tumia no hii 0773 944 944
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kuna nafasi za masomo pre~form one kuanzia mwezi wa 10. kwa maelezo zaidi piga simu 0787178503
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nauza samsung galaxy s3 (nyeupe) kwa 450, s4 mini (550) na 4s kwa 500 kwa yeyote ambaye yuko interested tuwasiliane 0753373354 simu zote ni genuine.....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lipo bagamoyo kijiji chakidomole' hatua chache toka barabara ya mlandizi/bagamoyo, ukubwa ni ekari mbili.. 4Millions (two mill per eka) Karibuni
0 Reactions
4 Replies
978 Views
nina laki moja kwa line ya m pesa na airtel pesa wakala kwa mtu anae uza tuwasiliane 0783907323
0 Reactions
0 Replies
847 Views
LIMITED QUANTITY WITH ONLY 1 USB huhitaji power adopter ama chengine ni PLUG & PLAY INAUZWA TSH 85,000 na unaweza kutumiwa ulipo baada ya malipo kukamilika CONTACT 0773 044 899 New black...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
BAHEDELE DRILLING CO. dealers in drilling borehole, submersible electric pump and service Buguruni sokoni Dar es salaam Tanzania Kawamaitaji yakuchimba kisima utaratibu nkama ufuatavyo...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Wana JF Habari Nimepata safari ya kwenda nje ya nchi kikazi na nitakuwa huko kwa muda wa miaka 5. Nina kiwanja nilichokinunua mwezi April mwaka huu na kuanza kujenga mwezi May. Kiwanja kimepimwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salasala kuanzia sqm 1645 (60milioni) na 1600 (45milioni).Wazo sqm 1300 (20 milioni).Vyote maji na umeme vipo na gari inafika mpaka nyumbani.Maongezi katika bei yapo,karibuni. 0714 381704
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba yenye vyumba vitano na eneo lililobaki inauzwa. Bei ni milioni 19. Mazungumzo yapo. Kwa maelezo zaidi nitwangie kwa 0713111171. Karibuni sana
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau kiwanja kinauzwa bei 1.5million unaweza kujenga nyumba ya vyumba 4 ni hayo tu Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau nimefanya karesearch kadogo kuhusu bei za nyumba(jamiiforums,zoomtanzania,inauzwa)kusema kweli bei ni za juu kwa makusudi...tuwe na chombo cha kuregulate hizi bei. kwa kweli......,madalali...
0 Reactions
1 Replies
823 Views
Wakuu Wasalaam. Kwa yeyote anayehitaji Paving Blocks au Fundi wa kupanga Paver, tunapatikana Chanika Tegeta karibu na Kibo Complex. Bei zetu ni nafuu. Kwa mafundi wa kupanga Paver, tunafanya kazi...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Kampuni ya Young master Supplies & General Enterprises inayohusika na mambo ya IT iliyopo jijini Arusha inapenda kuwatangazia wananchi na wakazi wote wa jiji la Mwanza kuwa Mafundi na wataalamu...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Wapi zinauzwa hizi laptop hapo dar?nasikia ni cheaper kulinganisha na zingine kama dell Toshiba Apple n.k
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naitaji chumba cha kupanga kiwe self container jiji dar es salaam, maeneo ya keko,changombe,mtoni kwa azizi ally, mtoni mtongani au mivinjeni.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta cd za ps3...GTA IV na nyingine za action na racing
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom