mandwa JF-Expert Member Joined Aug 13, 2013 Posts 1,502 Reaction score 372 Sep 14, 2013 #1 Wadau kiwanja kinauzwa bei 1.5million unaweza kujenga nyumba ya vyumba 4 ni hayo tu Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wadau kiwanja kinauzwa bei 1.5million unaweza kujenga nyumba ya vyumba 4 ni hayo tu Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ndechumia JF-Expert Member Joined Jul 15, 2011 Posts 1,187 Reaction score 619 Sep 14, 2013 #2 ni vizur ukataja ukubwa wa kiwanja (urx up) 1.hivyo vyumba 4 vitakuwa na ukubwa gan, 2. vinajipanga mstar kama frem za kariakoo?
ni vizur ukataja ukubwa wa kiwanja (urx up) 1.hivyo vyumba 4 vitakuwa na ukubwa gan, 2. vinajipanga mstar kama frem za kariakoo?
Pretty JF-Expert Member Joined Mar 19, 2009 Posts 2,579 Reaction score 574 Sep 14, 2013 #3 ......Tabata msimbazi ipo wapi? au karibu na sehemu gani!
A Aika Mndumii Senior Member Joined Jan 19, 2013 Posts 164 Reaction score 47 Sep 14, 2013 #4 Pretty said: ......Tabata msimbazi ipo wapi? au karibu na sehemu gani! Click to expand... Mkuu kama sikosei tabata msimbazi iko kilwa masoko mkoani lindi..labda mandwa arudi aseme iko wapi maana tangazo lake halieleweki,,
Pretty said: ......Tabata msimbazi ipo wapi? au karibu na sehemu gani! Click to expand... Mkuu kama sikosei tabata msimbazi iko kilwa masoko mkoani lindi..labda mandwa arudi aseme iko wapi maana tangazo lake halieleweki,,