Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu mambo vipi mzigo huko sokoni toyota verosa ya mwaka 2002 milleage ni 75000, engine type VVTI-6
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta rum au vyumba viwili eneo kabwe au soweto muhimu kusiwe na wapangaji wengi nikipata single self itakuwa bomba urgent
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Hello people, MImi ni mwanafunzi wa chuo na nimetengeneza website yangu nzuri ya vitu KADHAA wa KADHAA naomba cheki it out .... kwa sababu nimeona FURSA nika THUBUTU naombeni muitembeleee...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahitaji kujua bei ya mitumba daraja la kwanza kwa bells(do not mind my spelling namaanisha hicho)
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Nina 5mil natafuta rav 4 haraka
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Shamba kubwa Mkuranga zaidi ya eka 10 na ukitaka zaidi utaongezewa kulingana na mahitaji yako. Linafaa sana kwa: Kilimo, ufugaji, shule, kiwanda, makazi nk. Wasiliana na Bw. Salum Ngohengo kwa...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Nyumba moja kubwa yenye vyumba vinne (vyote self-contained) inauzwa. Ipo Chanika, Masantula. Ina nyumba ndogo ya uani yenye vyumba vitatu, viwili vinatumia sebule moja. Nyumba hiyo imo katika eneo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wa kuu, mimi nategemea kuhama napokaa mwezi wa kwanza mwakani, naomba kama kuna dalali au mtu anayefahamiana na dalali anipatie namba au aniunganishe naye!! au kama kuna mtu anahitaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji king'amuzi cha startimes budget yangu 35000.. serious seller call 0713794962
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Nauza UPS kwa Tsh 60,000 mimi kwasasa sina computer hivyo haina kazi tena. Atakayehitaji ani PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KIwanja kinauzwa kigambon mikwambe kipo karbu kabisa na kwa pinda kiwanja kipo sehemu nzur gari inafika hadi pale. Huduma kama umeme maji, na miundo mbinu mizuri.kina ukubwa wa miguu 20 kwa 26...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Continental decoder for 60000 only, kimetumika kwa miezi 3 hakina tatizo lolote nimechukua dstv sina haja nacho. Tuma sms kwenye 0717017820
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampuni ya Excellence Management International Inawatangazia wanafunzi wa vyuo mbalimabli Tanzania na Afrika Mashariki kuwa kutakuwa na mafunzo ya muda yanayohusu masuala ya utafiti (Practical and...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Nauza simu aina ya Nokia Lumia520 ni mpya kabisa na imetumika week moja(1) tu ipo katika box ikiwa na protector,simu cover na kila kitu kuanzia charger,câble na earphone...bei ni 250,000/= tu na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ramani ya Nyumba nzuri ya kisasa yenye: 1.Masterbedroom 2.Lounge/Sitting room kubwa ya seti mbili za sofa 3.Kitchen na store 4.chumba kimoja kulala 5. Common toilet. Ikiwa na michoro yake yote...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anaeuza simu tajwa iwe in good conditions ani pm.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu wanaJF, nina mtaji wa 150,000 naweza fanya biashara gani.naomba ushauri.naishi kurasini..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta kingamuzi cha startimes nina sh.30000 aliyetayari 0765480855 nipo malimbe mwanza
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Toyota hilux pikup engine 5L iko ktk hali nzuri kbs,bei 27m Kwa wanaohitaji kuiona ipo dar simu 0713305000,
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Bei laki 4.5 ninazombili nauza moja niongezee mtaji ni hizi mpya nilinunua mwezi wa 6 nipo mwanza anayehitaji nipigie kwa 0788006200.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom