ERIK
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 623
- 315
Habari zenu wa kuu, mimi nategemea kuhama napokaa mwezi wa kwanza mwakani, naomba kama kuna dalali au mtu anayefahamiana na dalali anipatie namba au aniunganishe naye!! au kama kuna mtu anahitaji kuhama sehemu mwezi wa 12 naomba msaada wake, napenda kukaa, BUZA, YOMBO DOVYA, TABATA SEGEREA, KIGAMBONI AU KURASINI!!
nyumba iwe ya kujitegemea, choo, siting rum, jiko na vyumba 2 au kimoja cha kulala!! bajeti ni kati ya 100,000-150,000
nyumba iwe ya kujitegemea, choo, siting rum, jiko na vyumba 2 au kimoja cha kulala!! bajeti ni kati ya 100,000-150,000