Habari zenu wana JF,
Inahitajika nyumba ya kupanga vyumba viwili,choo na jiko. maeneo ya morroco,kawe,kinondoni au mikocheni..budget ni 200,000 kwa mwezi.kama unao msaada.Ni PM
Thanks.
Nahitaji Pikipiki Iliyo Ktk Hali Nzuri Na Yenye Documents Zake Zote. SANLG, BOXER na FEKON Nitafurahi Zaidi .weka Dau Lako Hapo. Itapendeza Ikiwa Ni Wa Kibaha-mlandizi, Kibaha-maili Moja, Dar Es...
HABARI WANA JF!
Kiwanja kipo kigangomboni-mikwambe kama unaelekea kwa mh.mizengo pinda
kikubwa na tambarale (miguu 23 kwa 34)
karibu na barabara(mwendo wa dk3 kutoka rami)
umeme jirani...
Model 1997
odometer 85,000
bei million 13,700,000.
Namba chc
double airbag
haijatumika hapa tz.
Import from japan
check photo.
Contact 0756 600311, 0782 335151
habari wakubwa, nauza Dell Latitude E6320 yenye specification zifuatazo:-
13.3-inch anti-glare 720p display (1366x768)
Windows 7 Professional 32-bit
Intel Core i5-2620M 2.50GHz...
Karibu nami mi ni fundi umeme mwenye uzoefu kwa Mawasiliano tuwasiliane kwa namba hii 0787577755 au tembelea group langu ndani ya Facebook na search Faabi Electrical Installation. Utapata kuona...
HABARI WANA JF!
Kiwanja kipo kigangomboni-mikwambe kama unaelekea kwa mh.mizengo pinda
kikubwa na tambarale (miguu 23 kwa 34)
karibu na barabara(mwendo wa dk3 kutoka rami)
umeme jirani kabisa,maji...
Habari yenu ndugu zangu, nna ipad 2 hiyo ni mpya kabisa na inakwenda kwa bei ya 450,000/=
Specification zake tafadhali pitia hapa:
Apple - iPad - View all the technical specifications.
Rangi ni...
Nahitaji Piki2 Aina Ya Boxer Ambayo Haijatumika Zaidi Ya Miezi 6 Na Iliyopo Ktk Hali Nzuri. Iwe Na Documents Zake Zote. Maeneo Iwe Dar Es Salaam, Bagamoyo, Kibaha, Chalinze Au Moro Town...
Mimi Ni Mkazi Wa Dsm. Kutokana Na Ushauri Nilio Pewa Na Mwana Jf,aliye Nishauri Nifuge Kuku Chotara Nimekubaliana Nae Na Kama Kuna Mjasiliamali Ana Vifaranga Vya Chotara Naomba Ani PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.