wa wanaoitaji msaada wa usajili wa makampuni. Kwa wale wenye mahitaji na msaada wa kuandaliwa submission,affidavit na documents nyingine pamoja na msaada wa namna ya...
Kwa wale wote wanaohitaji viwanja vilivyopimwa vinapatikana maeneo ya kigamboni city vya sqm 400-600,800-1000 per 8000 thousands per square meter. Contacts 0717038035,0766 564455
Ram 3, procesor 1.8ghz, 320gb haina tatizo nimenunua m city mwezi wa 5..bei ni 560 ila kuna kuelewana na ant virus niliweka ni kubwa na sio ya kudownload... Kama unahitaji call me in this...
Colour designer anahitajika, kwa ajili ya kudesign combination nzuri ya rangi zaidi ya mbili kupakwa kwenye micro buses (Mitsubishi Rosas, coaster etc).
Habari wadau wa kilimo natafuta mashamba ya kukodi maeneo ya maji kwa ajili ya kulima mboga mboga.. kama ruvu hivi na maeneo mengine yenye maji. Nawasilisha
wadau nimechoka kutembea kwa mguu sasa natafuta pikipik boxer used ninunue kwa ajili ya matumiz yang..alienayo anitafute kwa namba 0719098138 bei tutaongea
Heavy duty photocopy machine Canon IR 2230. Bei yake ni Tsh. 1,400,000, punguzo litakuwepo. Ipo katika hali nzuri, ninaiuza kwasababu nahitaji kuanzisha biashara nyingine. Napatikana Dar. Karibu.
Kiwanja kinauzwa kiko eneo la Mbezi Tangi Bovu njiapanda ya kwenda Goba. Kiko karibu na eneo la NECTA. Kimezungushiwa fensi ya ukuta kozi 4. Kina ukubwa wa mita 25x25. Hakijapimwa lakini kiko eneo...
Wadau kiwanja kina uzwa Mbezi beach Tangi bovu karibu na station kuu ya vodacom na Ofisi ya Baraza la mtihani. ukubwa ni mita 25 kila upande, kiwanja kina fensi ya ukuta kozi 4, umeme upo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.