Kwa wale wenye mahitaji ya kisheria kama kuandaliwa submission,affidavit na documents nyingine pamoja na msaada wa namna ya kutafuta majina na kusajili kampuni( BRELA). Unaweza kuwasiliana na...
Kwa wale wenye mahitaji ya kisheria kama kuandaliwa submission,affidavit na documents nyingine pamoja na msaada wa namna ya kutafuta majina na kusajili kampuni( BRELA). Unaweza kuwasiliana na...
Kwa yoyote anae shift kutoka kingamuzi cha star times kwenda kingine,Naomba aniuzie kingamuzi chake au kama kwa sababu moja au nyingine hakitumii, naomba aniuzie kwani nakosa mengi jamani then...
Wanabodi nina Shida ya kununua Body Tupu ya Bus Isuzu Journey iwe Fupi au Ndefu... Na Pia Nahitaji Gearbox ya Nissan Civilian engine ya 4 Fasta au kama kuna mtu ana contact sehemu zilipo...
jamani wadau nimejichangachanga nimepata milioni 10, na nataka kuagiza gari(Subaru forestara0 kutoka japan ya mwaka 2005 na cc 1999. je itatosha? naombeni ushauri wenu wadau. naatanguliza shukrani
Model: HP 650 Notebook
RAM: 2GB
HDD: 320GB
Processor: Intel(R) Celeron 1.8GHz@ Dual Core
Webcam
Bluetooth
Card Reader
Designed for Windows 8(Supports other OS's like Win 7/XP, Linux etc)
Price...
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
UNLOCKING ANY GSM PHONES
IPHONES
NOKIA
SAMSUNG
ALCATEL
BLACKBERRY
UNLOCKING ANY GSM MODEM
ZTE
HUAWEI
VODAFONE...
Sasa ivi natumia NOKIA E72. So, hii NOKIA 2700classic nataka niiuze. Cha kubadilisha kwenye hii simu labda ni housing tu, tena hata hivyo haijaisha sana. Ila unaweza ukaibadilisha ukipenda. Weka...
wakuu nauza viwanja vyangu viwili vyenye ukubwa wa ekari mbili kila kimoja! Viwanja vipo bagamoyo mkoa wa pwani,. Bei ni shilingi milioni moja na nusu kwa kila ekari moja,. Tuwasiliane PM.
Heloo,nauza simu tajwa hapo juu ,,kwa anaeihitaji aniambie ,iphone 4 white ni simu iliyotumika one wiki yaani ni kama mpya kabisaa,,
Iphone 4( laki 9 bei itapungua) and blackberry n laki tatu(bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.