kamsongole
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 111
- 15
Wadau nahitaji machine ya kuangulia vifaranga maeneo ya dar au kibaha. Naomba aliyenazo aniandikie bei na anapatikana wapi nije kununua. na pia kama ni home made au za nje
Wadau nahitaji machine ya kuangulia vifaranga maeneo ya dar au kibaha. Naomba aliyenazo aniandikie bei na anapatikana wapi nije kununua. na pia kama ni home made au za nje
Kuna uzi humu humu utafute
Mashine ipo hapa dar. Manual ni ya nje. Ipo mwenge karibu bei ni maelewano. Sababu ya kuiuza hakuna wakuitumia. Karibu. Nicheki kwa 0713401812
Kamsongole, Plse give address.
niko kibaha, napatikana kwa 0713447510. kama unazo tuwasiliane.