Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau nauza pikipiki tajwa hapo juu. Pikipiki ipo katika hali nzuri sana, na ni electric self starter. Ina uwezo wa kwenda umbali mrefu bila kusimama(nishawahi kutoka nayo dar hadi Arusha afu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Haya wakuu huyu mtu anahama nchi kaamua kuwaachia wahitaji vitu vya ofisini na nyumbani. Vyote vinauzwa kama vilivyo-USIje kuuliza hee mbona mtoto hana mguu. Laptop HP -50,000 Photocopier IR 2018...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Jamani wana MWANZA hasa BUHONGWA kama kuna mtu anakiwanja na anahitaji kukiuza tafadhali aniPM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ninauza camera hii kwa sh laki 2 tu,12 megapixels,zaidi maelezo yanajieleza mbele ya camera ukisoma,mawasiliano 0768808819 ama ni pm
0 Reactions
0 Replies
807 Views
haya wana jamii forum wenzangu wenye pesa zenu kuna kiwanja kizuri sana kinauzwa kipo mbweni malindi takriban mita 400 tu kutoka baharini chenye ukubwa wa square meters 1400 ( miguu 28 kwa 50 )...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The DVD & Audio CD "Kupunguza Unene Na Kitambi" is now available and will soon be launched. This is a joint Project between ConsNet Group and The Eastern Africa Professionals & Business Network -...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Naomba msaada wa alternator ya bmw 318i,ya mwaka 2002,chessis no.WBAAZ72000NG01993 mwenye kuweza nisaidia please pm ahsanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza hii camera ni 10mp,kwa sh laki tatu aliye serious anaweza kuwasiliana na mimi kwa simu yangu 0768808819 ama ni pm,
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Top ten reasons to drink argi, acts to release anti aging hormones, affects insulin sensitivity so it is particularly useful in maintaining blood glucose control. reduce blood cholesterol...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Mwenye miche ya minazi ya muda mfupi au anayejua panauzwa miche ya minazi ya muda mfupi tafafhali naomba ani PM. Naomva pia kujua bei yake.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Salaam wanajamii,nilikuwa na maswali la kibiashara,1.)Nina water pump ya honda nataka kuileta bongo,je naweza kuuza?bei kwa makisio ni ngapi.ni brand new nameinunua hapa uk,lakini sina tena...
0 Reactions
2 Replies
960 Views
mashine ya ,max malipo ya mwezi wa sita inauzwa Tsh 400000 call 0716 567 467 ina hali nzuri.....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida jana nilipoteza simu yangu aina ya Sony Xperia L maeneo ya Ubungo hivyo basi naamini kuwa mtu yule ambaye atakuwa kaichukua , au kuiokota sasa hivi atakuwa aidha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wale mnaohitaji external hard disc za trancend ninazo bei ni poa 145
1 Reactions
16 Replies
2K Views
JE UNATAFUTA NYUMBA/VYUMBA VYA KUPANGA SOWETO-MOSHI??? KARIBU KUNA VYUMBA YA KUPANGA NZURI IPO SOWETO, MTAA WA HURUMA KARIBU KABISA NA ST JOSEPH HOSPITAL. NYUMBA INA KILA KITU MAJI, GETI, NA...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Natafuta lock ya staring au ya gear level ya automatic car.
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Waungwana kwa anaeiitaji hii simu tuwasiliane,bado iko poa ila sema hai-support code USSD yaan mpesa,tigopesa, na vifurushi na hii ndivyo ilivyoundwa so kwa mwenye utayari no. yangu ni 0767954466...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu ninashida ya kuku wa kienyeji pure ambao wamebakiza kama mwezi au wiki tatu waanze kutaga...nahitaji mitetea kama 100.....natanguliza shukrani,,,,,
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…