Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,036
Kwa nyie kutuuzia tena ni njia yenu ya kupata mafanikio. Mi nilidhani mnagawa bure.
Hiyo DVD angetoa Bakhera ningenunua.
Kwanza kabla sijajibu hujasema kama utanunua DVD Ngapi na kama utakuwa Distributor. Tuanzie hapo.
Kama akiniuzia mmoja wa hao wabebs ntanunua...yaani nikutane naye ana kwa ana nimkabidhi mshiko naye anikabidhi dvd. Ila wewe usije.
No problem. Hawako kwenye Sales lakini nitafikisha ujumbe. Ni kwa nini unataka wao tu ndo wakuuzie?
Wewe kwa nini unataka kujua? Wewe ni kaka yao?
Sister's Keeper!
me nataka wewe unileteeeNo problem. Hawako kwenye Sales lakini nitafikisha ujumbe. Ni kwa nini unataka wao tu ndo wakuuzie?
Acha unoko bana...kwani mi jambazi?
me nataka wewe unileteee
nataka uje live aisee kumbe huku jf kuna mahb namna hii...una mke mkuu
Kama akiniuzia mmoja wa hao wabebs ntanunua...yaani nikutane naye ana kwa ana nimkabidhi mshiko naye anikabidhi dvd. Ila wewe usije.
Mami,
Acha kuwa na mawazo mabaya kichwani bana. Kwanza wewe nunua kama 5 hivi na za nyongeza 10 ndiyo walau uombe ziletwe na hao akina dada zikiwa zimefungwa na kurembwa.
Hongera kwa waandaaaji na tutajitahidi kuwa-support kwa njia mliotuandikia.