GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,542
- 127,848
haya wana jamii forum wenzangu wenye pesa zenu kuna kiwanja kizuri sana kinauzwa kipo mbweni malindi takriban mita 400 tu kutoka baharini chenye ukubwa wa square meters 1400 ( miguu 28 kwa 50 ) hati original kabisa ipo. Bei yake ni milioni 80 na anashuka hadi milioni 70 tu na si zaidi ya hapo. Mwenye kukihitaji awasiliane na namba hizi zifuatazo: 0684 344600, 0715 044592 na 0766 378409. Kila la kheri wenye pesa zenu mimi niliishia milioni 65 tu jamaa kachomoa na kaniambia nizitafute hizo milioni tano zitimie 70 tufanye biashara. nimekipenda sana hicho kiwanja na kwa yoyote atakayekwenda kupaona hapo atakubaliana na mimi na kubwa zaidi ni location yake na pako very accessible na kwa watu ambao ni executives hapo ndipo mahala penu. Kila la kheri.