Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari ! ni wapi ninaweza kupata Darts board na accessory zake kwa matumizi ya Pub? natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
758 Views
On sale serious buyer only. Toyota corolla. Cc 1.5 petroleum call 0713-425028
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Graphs kama Histogram, Pie Chart n.k michoro iko kumi na mbili na unaruhusiwa kutumia program yeyote ambayo utakuwa unataka kuitumia kama zile za kwe ye B plans Bofya hapa uone aina hizo za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nyumba poa yenye vyumba vitatu parking ya kutosha na umeme na maji vya uhakika...bei poa tunaongea..maelezo zaidi nipigie 0713339910
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza laptop dell D620 bei 250.ram 1gb,Hdd80gb,processor 2.8ghz.kama unahitaji ni pm
0 Reactions
5 Replies
1K Views
samahani wadau,naomba nijuzwe bei ya sim tajwa hapo juu kwa mlio dar,nahitaki kunua ila huku mikoan ni kama wanatuuzia bei juu sana! natnguliza shukran
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta hostel maeneo ya ilala, chang'ombe, kariakoo, au sehemu nyingine ambayo naweza pata usafiri wa kufika posta moja kwa moja. Masharti:::: kuwe na maji, ulinzi. Nitajieni ofa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamii, Natafuta kiwanja kwa ajili ya Makazi eneo la Morogoro chenye thamani ya Millioni 2 mana ndo uwezo wangu Mungu alionijalia. Wenu Mtiifu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habar zenu wana jf.... Me natafuta chumba cha kuish (kupanga) single room.Me nipo Misungw kwa sasa kama upo misungw una info zozote plz tuambiane coz misungw madalali hakuna
0 Reactions
1 Replies
911 Views
Bei maelewano 0685 925153
0 Reactions
1 Replies
781 Views
Habarini marafiki Ni fursa pekee na wakati muafaka wa wewe kutaka kitu bora zaidi hivyo usiisite na kutangatanga ama kuhangaika huko na kule kutafuta ni wapi shughuli yangu naweza kuifanya, na ni...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza kiwanja mivumoni 20*20 mitasqr tshs. Mil6 Barabara ipo ila umeme upo kama km1, maongezi yapo ni PM or txt; 0656063933.utajibiwa
0 Reactions
9 Replies
2K Views
natafuta batter au mtu wa kubadilishana nae au hata wa kununua just PM
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Hi wakuu, nahitaji mziki wa ukweli wa kagari kangu, iwe inauwezo wa dvd, mp3, flash, memory card nk. Naomba ushauri ni wapi naweza pata na bei zake. natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imetumika miezi saba bado mpya kabisa..bei ni ya kutupa 190 inapungua..kama unahitaji nitafute 0689545870 Memory Card slot No Internal 8 GB storage, 256 MB RAM Camera Primary 5 MP...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Bigwa Morogoro,kina ukubwa wa heka moja,kina miti michache ya mitiki,bei ni 15m kwa mwenye kuhitaji ani pm!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Iphone 4s for sale laki 5 na nusu mpyaa na kila kitu na boksi lake kabsaaa
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ipo nyeusi imetumika ila katika hali nzuri inauZwa 230000
0 Reactions
1 Replies
803 Views
salaam kwanza natafuta cmu nzuri iwe symbian au window phone pich a ztahitajika na bei ykifata maelewano.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama unatumia simu ya Nokia E61i,naomba unisaidie kama inauwezo wa kutumia whatsapp
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…