wakuu pole na majukumu,
nipo katika mchakato wa kuanzisha photo studio Dar es salaam (itakuwa ni medium). Studio hii itajishughulisha na upigaji picha portraits kusafisha na kuuza photographic...
Wana Bodi baada ya kuzunguka zunguka nimepata wazo la kufyatua tofari na kuunza,baada ya kuona Tasnia ya ujenzi inakua kwa Kasi,nilikua naomba kujua je ni wapi nitapata Mashine za kufyatua...
Aina ya Simu: Nokia Lumia 620,
Hali yake: Mpya na vifaa vyote,
Uwezo: 8GB internal memory,
Camera:5 MP, autofocus, dual-LED flash & camera ya mbele,
OS: Microsoft Windows...
Sasa HUHITAJI KUSOMEA WEB DESIGNING ili uweze kutengeneza website yako mwenyewe.....Pata software itakayokusaidia kutengeneza WEBSITE yako kwa kutumia samples na template mbalimbali.NO HTML CODING...
Naomba ushauri wenu ni kampuni gani ya friji ambazo ziko imara zaidi na size ndogo yenye thamani ya sh.200,000 ili nikainunue ...kwa hapa dar tafadhari, natanguliza shukrani zangu.
Hi wana JF. Naitaji laptop ila ikiwa mini laptop itakua vizuri ila pia kama unayo aina nyingine pia waweza nicheki ila isiwe dell. 0716369299 asanteni
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Wadau respect mbele....! Naomba kwa alie na taarifa za upatikanaji wa kiwanja cha kujenga morogoro hasa maeneo ya kihonda, nane nane, mikese, na bigwa....najua nikianza kuzunguka mwenyewe nitapata...
Kwa masuala yoyote yanayohusiana na umeme...nipo hapa fundi umeme nami nitakufikia popote ulipo..naishi Mabibo Dar-es-salaam..kwa mawasiliano zaidi nicheki kupitia 0713 190 118 au frgreat@ymail.com
kwa mahitaji ya ramani ushauri katika ujenzi kwa bei nafuu na ubora wahali ya juu ramani za kisasa za aina zote
for more information contact us
0655 615637
0752 615637
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.