Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wana jamii.nafuta sim iwe smart phone mfano Samsung galaxy series au iphone 1 to 4 nokia au htc
0 Reactions
11 Replies
1K Views
wakuu pole na majukumu, nipo katika mchakato wa kuanzisha photo studio Dar es salaam (itakuwa ni medium). Studio hii itajishughulisha na upigaji picha portraits kusafisha na kuuza photographic...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana Bodi baada ya kuzunguka zunguka nimepata wazo la kufyatua tofari na kuunza,baada ya kuona Tasnia ya ujenzi inakua kwa Kasi,nilikua naomba kujua je ni wapi nitapata Mashine za kufyatua...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Nauza HTC Chacha used lakini ipo kwenye condition nzuri.. Tsh. 160,000 tu... Contact: 0716880022
0 Reactions
2 Replies
921 Views
Aina ya Simu: Nokia Lumia 620, Hali yake: Mpya na vifaa vyote, Uwezo: 8GB internal memory, Camera:5 MP, autofocus, dual-LED flash & camera ya mbele, OS: Microsoft Windows...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Anaye uza ipod touch 4g.
0 Reactions
0 Replies
817 Views
Sasa HUHITAJI KUSOMEA WEB DESIGNING ili uweze kutengeneza website yako mwenyewe.....Pata software itakayokusaidia kutengeneza WEBSITE yako kwa kutumia samples na template mbalimbali.NO HTML CODING...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Naomba ushauri wenu ni kampuni gani ya friji ambazo ziko imara zaidi na size ndogo yenye thamani ya sh.200,000 ili nikainunue ...kwa hapa dar tafadhari, natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi wana JF. Naitaji laptop ila ikiwa mini laptop itakua vizuri ila pia kama unayo aina nyingine pia waweza nicheki ila isiwe dell. 0716369299 asanteni Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
687 Views
Nina simu 3 naziuza...moja ni HTC Chacha(touch na button) 320,000 tu..bado mpya kabisaaa...pia nina tecno Q1 180,000 tu(touch+button)...na samsung galaxy pocket 140,000(full touch)..wahi kabla...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninauza harrier nyeusi ni mpya sana .bei maelewano 0713959290
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kIWANJA KIPO KONGOWE - DAR ES SALAAM, MAENEO YA KILUNGULE. BEI NI 2.2M. MAWASILIANO 0713135070 AU 0753820584. KARIBUNI.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau respect mbele....! Naomba kwa alie na taarifa za upatikanaji wa kiwanja cha kujenga morogoro hasa maeneo ya kihonda, nane nane, mikese, na bigwa....najua nikianza kuzunguka mwenyewe nitapata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaj laptop 'feature zake isiwe na RAM less than 1gb na pia hdd isiwe les than 80gb'mwenye nayo 2wasiliane 0765338964
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Nahitaj laptop 'feature zake isiwe na RAM less than 1gb na pia hdd isiwe les than 80gb
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Ipo katika hali nzuri sana. Napatikana Mbeya karribu na Mwanjelwa.
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Kwa masuala yoyote yanayohusiana na umeme...nipo hapa fundi umeme nami nitakufikia popote ulipo..naishi Mabibo Dar-es-salaam..kwa mawasiliano zaidi nicheki kupitia 0713 190 118 au frgreat@ymail.com
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mwenye nayo naomba anipigie au sms nimpigie ninashida nayo Call 0759149202
0 Reactions
5 Replies
1K Views
waungwana habari za asubuhi....!!nngependa kujua wapi pool table zinauzwa na mwenye contact zao tafadhali anipatie..!!nawatakia siku njema
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa mahitaji ya ramani ushauri katika ujenzi kwa bei nafuu na ubora wahali ya juu ramani za kisasa za aina zote for more information contact us 0655 615637 0752 615637
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom