Simu za android zinauzwa

Simu za android zinauzwa

FRGR

Senior Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
126
Reaction score
56
Nina simu 3 naziuza...moja ni HTC Chacha(touch na button) 320,000 tu..bado mpya kabisaaa...pia nina tecno Q1 180,000 tu(touch+button)...na samsung galaxy pocket 140,000(full touch)..wahi kabla hazijawahiwa...kwa mawasiliano zaidi nicheck kupitia 0713 190 118..
 
kama unaaina nyingine za htc kwa 140000 nistue nakuja fasta joh!
 
mimi ninayo htc wildfire s bei 150....... luofe nicheki kwa namba 0716805201 but ni used ila ipo powaa...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom