habari wakuu, kitu hii inaendelea na kazi vizuri sana, mmiliki wake anaama dar kikazi so usimamiz ataweza akiwambali, ipo sehem changamfu sana bei kwa jumla milion 2.5 plus kodi ya miezi 8 mbele...
lisiwe la uwizi
liwe na uwezo wa kuwasha tv mbili kubwa za nch 28 , projector mbili, ving'amuzi vinne.
pesa cash iliyopo mkononi ni sh laki moja tu, pesa inaweza kuwa adjusted.
tukitest wote...
Amani kwenu wadau...
Natumaini mu wazima wa afya na mnaendelea vyema na shughuli za kila siku. naomba msaada kwa yeyote anayefaham
sehemu ninayoweza kupata vifaa vya studio ya picha (kama photo...
Habarini
naitaji kiwanja au shamba lenye ekari 1 kwa tsh. 500,000/= maeneo ya ukuni bagamoyo au popote bagamoyo
pls kwa aliyenacho anijulishe kwani ni muhimu sana. aniPM Itakuwa vyema
pls
Nahitaji music system inayoeleweka, iwe used au mpya ilimradi iwe katika hali ya kueeleweka,.....
Yoyote alionayo please, naomba ani habarishe specs zake pamoja na dau lake.
asante
Tuna design ramani za nyumba za aina mbalimbali,tunapatikana survey karibu na mlimani city Dar-es-salaam,hapo chini ni sample ya kazi ambazo tumefanya.
kwa mawasiliano
0713450840...
wadau kwa yoyote mwenye kuza pkpk ndogo sanlg (yani marufu kama kibao chambuzi) namba iwe c bei elekezi laki 7 naitaji nitashukuru hikiwa imetumika miezi 5,6 au 7 natanguliza shuklani wadau 0712690760
Kwa wale wenye campuni au wanabiashara na wanahitaji kutengenezewa website zao, tupo kwa ajili yako,,, tunatengeneza website kwa bei nafuuu,, na wale wanahitaji kujifuza lugha mbalimbali Kama...
Lets make life easier guys, najua wengi wetu tumewahi kukutana na changamoto katika utafutaji wa nyumba za kuishi, kununua, ofisi za kupanga, hostel, nyumba za kufikia ugenini, na hata kutafuta...
Waheshimiwa habari zenu, Kuna samsung netbook original hapa inauzwa bei poa MODEL ni NP-N102S, ina processor ya 1.64GHZ, RAM 1GB, WIFI, WEBCAM, CARD READER, BLUETOOTH, WINDOW 7 PROFESSIONAL...kuna...
Nataka kujua bei ya Rav 4 ya mwaka 1998 au 1999 na labda tofauti yake nini naomba wazoefu wa magari wanielezee please I'm interested to buy that particular type of a car...!!!
Regards,
Jonathan.
Naombeni mawazo na ushauri wenu Wana JF:-
Natarajia kuwa na harusi mapema wiki ya kwanza ya Desemba 2013. Plan yangu ni kuwa na shughuli ya watu kati ya 100 na 120 na nina bajeti ya 5M. Nimejaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.