Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30...
Habari za majukumu wananch!.
kuna mzee mmoja anauza eneo lake alinifata mimi akijua nina mpunga,kumbe siri ya mtungi naijua mwnyewe..
eneo ni tambarare
ukubwa 30m*70m
Bei mil 24.5...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
Oven+jiko la umeme linauzwa ni jipya bado. Maana risiti ya mauzo bado ipo
Mawasiliano. 0672701329 .....bei ni 230,000/= lipo moshi mjini...free delivery included
Kama picha inavyoonekana full...
Habari wanajamii forum wenzangu kama kichwa cha madaa kinavyojieleza, Mimi ni kijana wa kiume wa kitanzania mtafutaji na mchakarikaji. Nimefanikiwa kufungua biashara na kupata documents zote za...
Tutakayojifunza:
(a) Lengo kuu la programu.
(b) Shabaha/Fokasi ya programu ya leo.
(c) Ufafanuzi wa Fokasi ya programu.
(d) Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa.
(e) Dondoo muhimu...
Wapendwa wateja tunavyo viwanja na heka maeneo yafuatayo.
Kikatiti , Maji ya Chai, King'ori .
Viwanja vya king'ori vinaanza kwa ml 4.5.
Kikatiti viwanja vinaanza ml 4. Maji ya chai ni ml 7 mpaka...
1. Usajili wa Kampuni
2. Usajili wa Majina ya Biashara
3. Kuhuisha Taarifa za Kampuni zilizosajiliwa kabla ya 2018.
4. Upatikanaji wa leseni na vibali mbalimbali.
5. Kufanya Filling ya Annual...
Ndugu habari
Mimi ni kijana mwenye ujuzi na excel sasa nmeona pengine naweza kuufanya ujuzi huu kuwa huduma na kupata chochote kinisadie hapa na kule.
Nina ujuzi na excel na ninaweza kutumia...
Nina nissan caravan yangu. Super roof.
Sina muda wa kusimamia kwa hapa dar.
Nahitaji wa kuingia mkataba awe na shughuli binafs kama shule au supllies kwa humu humu jijini. Dereva ni wake...
Chumba kimoja na sebule
Ukubwa wa kiwanja 17 kwa 15 mita
Eneo ni Mvuti kutoka stend mpaka kwenye nyumba ni dakika 5-7 ukitembea kwa mguu.
Bei 3.5 milion
Bei ya one coin moja ni shilingi za kitanzania 31,000/, ila nimeamua kuuza kwa bei ya offer 25,000/. Kwa anae hitaji tuwasiliane kwa simu no 0657 22 44 25.
Coin ziko 1000, (25,000 * 1000)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.