Nauza gari yangu kali sana used like new,alteza cc 1990 haina kipengele hata kimoja unawasha unaenda mkoa wowote.bie naanzia 5.5mil maongezi kidogo yapo.gari ipo sinza vatican .
0752649984
Kiwanja ni changu mwenyewe na kina ukubwa wa 520 SQM.
Kipo Engosheraton kata ya Sinoni. Jirani kabisa na Shule ya Sekondari ya Misheni ya Edmund Rice.
Kiwanja kimezungukwa na Huduma zote za...
1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road)
2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi...
Price/Bei 18.4mls
Cont: 0756553292
AUDI A4
Year 2011-2012
Cc 1790
Low Km 60000
Clean Interior
Leather seat
New Tyres & Sports rims
Clean Condition
Navunja Na Gari yoyote
KAMA UNAUZA GARI LAKO...
Viwanja vizuri vimepimwa vina mawe, vipo viwanja vingi vilivyobaki vinaanzia ukubwa wa 500 sqm ( 25m × 20m ).
Bei ni Tshs 40,000 kwa 1sqm.
Mfano Kama unahitaji kiwanja cha ukubwa wa 500sqm, 500 ×...
Nauza laptop HP ProBook 650 G3, Ina RAM 8Gb, hardDisk 128 SSD, Screen size 15.6 haina Scratch. Inakaa na charge masaa 4. Ina windows 10 Pro. Bei na laki 4(400,000)maongezi yapo. Ninapatikana...
KIBAHA KWA MFIPA(Upande wa chuo)
Heka 7, zimepimwa na Hati ipo
Umbali ni km 2.5 toka moro road
Bei ni million 126,000,000/=
Kupelekwa site ni 20k
0784376888/0744757738
Sent from my Infinix X657B...
Jibu la matatizo lipo Bora Computer Solution.
Tunatengeneza laptop na desktop aina zote kwa ubora wa hali ya juu, tunabadilisha Operating System(OS) kama vile Windows 7, 8, 10 na kwa mahitaji ya...
Natural Skin Solution yenye makao yake Kibaha Tanzania, tunapenda kutangazia wahitimu wa Clinical Officer au wanafunzi wa fani ya Clinical medicine ,tuna nafasi moja tu ya field au volunteer...
Samsung A13 dark blue color
Ni 64 GB, ram 4 gb.
Simu haina tatizo lolote, screen ipo safi.
Simu ipo Dar
Imetumika miezi 11.
Unapewa charger, box, risiti.
Muuzaji ana shida ya haraka kugharamia...
BMW 3 Series 2005 Engine 1900cc Inauzwa Million 12.5. Ipo kwenye hali nzuri kabisa na haina error yeyote kwenye dashboard. Inauzwa kwa sababu ningependa kununua gari kama hii ya miaka ya karibuni...
Kwa wale walaamu na wenyewe uzoefu wa hizi kazi za kudesign package za kupakia unga nk..’
Nataka mtu ambae anaweza kunidizainia package ya unga wa lishe yenye muonekano mzuri.
Nitumi sample DM...
TANGAZO TANGAZO KWA WALIMU WANAOHITAJI KUJIENDELEZA.
KAMPASI YA ADEM MBEYA IMEANZA KUTOA MAFUNZO YA 1. DIPLOMA YA UONGOZI WA ELIMU (DEMA/DELMA)
2. DIPLOMA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE (DSQA) KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.