Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30...
1 Reactions
1 Replies
518 Views
Habari za majukumu wananch!. kuna mzee mmoja anauza eneo lake alinifata mimi akijua nina mpunga,kumbe siri ya mtungi naijua mwnyewe.. eneo ni tambarare ukubwa 30m*70m Bei mil 24.5...
1 Reactions
10 Replies
581 Views
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
1 Reactions
1 Replies
897 Views
Nahitaji kutumia modem hii lkn sioni card slot zaidi ya memory card slot. Kwa anayejua namna ya kuitumia, anisaidie maelekezo, waungwana.
1 Reactions
4 Replies
590 Views
Habari zenu wadau, Naulizia kwa Arusha au Dar wapi naweza kupata Baby Rocking chair/Baby swing ya kutumia umeme tafadhali?
0 Reactions
2 Replies
738 Views
Oven+jiko la umeme linauzwa ni jipya bado. Maana risiti ya mauzo bado ipo Mawasiliano. 0672701329 .....bei ni 230,000/= lipo moshi mjini...free delivery included Kama picha inavyoonekana full...
0 Reactions
0 Replies
591 Views
Habari wanajamii forum wenzangu kama kichwa cha madaa kinavyojieleza, Mimi ni kijana wa kiume wa kitanzania mtafutaji na mchakarikaji. Nimefanikiwa kufungua biashara na kupata documents zote za...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Tutakayojifunza: (a) Lengo kuu la programu. (b) Shabaha/Fokasi ya programu ya leo. (c) Ufafanuzi wa Fokasi ya programu. (d) Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa. (e) Dondoo muhimu...
1 Reactions
0 Replies
380 Views
Wapendwa wateja tunavyo viwanja na heka maeneo yafuatayo. Kikatiti , Maji ya Chai, King'ori . Viwanja vya king'ori vinaanza kwa ml 4.5. Kikatiti viwanja vinaanza ml 4. Maji ya chai ni ml 7 mpaka...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari,karibu Linnmel Company, tunajishughulisha na uuzaji wa pilipili, garlic paste, ginger paste, tea masala, pilau masala, pineapple jam karibu sana.! Bidhaa zetu zina ubora na viwango kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Jipatie Google Pixel 4a 5G iliyotumika USA (Second Hand) Warranty 6 Months 0764081567 Free Charger Free Cover Free delivery in Dar es salaam
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nawezapata wapi grafting tools kit kwa hapa Dar Es Salaam?
2 Reactions
10 Replies
829 Views
Inauzwa external hard disk GB 500. Ina series za kizungu na movie za kizungu kiasi( ambazo hazijatafsiriwa) ipo Mbeya mjini. Bei sh.35,000.
1 Reactions
0 Replies
521 Views
lipo dukani , moshi mjini , pia yapo matatu bei each, 490,000/= Contact 0672701329
1 Reactions
9 Replies
767 Views
1. Usajili wa Kampuni 2. Usajili wa Majina ya Biashara 3. Kuhuisha Taarifa za Kampuni zilizosajiliwa kabla ya 2018. 4. Upatikanaji wa leseni na vibali mbalimbali. 5. Kufanya Filling ya Annual...
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Ndugu habari Mimi ni kijana mwenye ujuzi na excel sasa nmeona pengine naweza kuufanya ujuzi huu kuwa huduma na kupata chochote kinisadie hapa na kule. Nina ujuzi na excel na ninaweza kutumia...
2 Reactions
2 Replies
665 Views
Nina nissan caravan yangu. Super roof. Sina muda wa kusimamia kwa hapa dar. Nahitaji wa kuingia mkataba awe na shughuli binafs kama shule au supllies kwa humu humu jijini. Dereva ni wake...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Chumba kimoja na sebule Ukubwa wa kiwanja 17 kwa 15 mita Eneo ni Mvuti kutoka stend mpaka kwenye nyumba ni dakika 5-7 ukitembea kwa mguu. Bei 3.5 milion
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Bei ya one coin moja ni shilingi za kitanzania 31,000/, ila nimeamua kuuza kwa bei ya offer 25,000/. Kwa anae hitaji tuwasiliane kwa simu no 0657 22 44 25. Coin ziko 1000, (25,000 * 1000)...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom