the lucky mlokole
Member
- May 14, 2016
- 95
- 56
Nauza kuku aina ya saso umri miez 3 Bei 12000 location tanga korogwe
Mikoa jiran wanakufkia ninao 85
Mawasliano
0682060425
Mikoa jiran wanakufkia ninao 85
Mawasliano
0682060425
Hivi hawa kuku wanatumia muda gani kukua?Huku tunawaita JOMO.
Bei ni kubwa sana kama kuku mzinga
Kwa ufugaji wa kibiasharaHivi hawa kuku wanatumia muda gani kukua?
Nauza kuku aina ya saso umri miez 3 Bei 12000 location tanga korogwe
Mikoa jiran wanakufkia ninao 85
Mawasliano
0682060425
View attachment 2841315
Mkuu hawa ni wadogo au Wakubwa?Nauza kuku aina ya saso umri miez 3 Bei 12000 location tanga korogwe
Mikoa jiran wanakufkia ninao 85
Mawasliano
0682060425
View attachment 2841315
Uongo!Kwa ufugaji wa kibiashara
Kuku saso inatakiwa umfuge wiki 8
Hapo anatosha kuuzwa na kuliwa
Ukizidisha zaidi ya hapo itabidi umuuze kwanzia elf 18 kwenda juu
SawaUongo!
Wiki 8 mkuu ni wale broiler. Hawa cross breed wanafaa kuuzwa anapofikisha miezi 3Sawa
Ebwana kumbe Kishingo ndiyo Sasso?
WiUongo!
Hawa Sasa 12000 tuUongo!
Nakutegemea mteja wanguBiashara njema
Wakubwa kakaMkuu hawa ni wadogo au Wakubwa?
Hebu peleka hapo Magoma ,Korogwe Shemeji yako akale supu kama ni wakubwa lakini
Wapo huko tufanye biasharaHuku tunawaita JOMO.
Bei ni kubwa sana kama kuku mzinga
Ebwana kumbe Kishingo ndiyo Sasso?
😂😂😂😂😂Sikukuu hii watatoka tu. Kuna milioni kasoro hapo.
Ila maisha ni upambanaji kweli. Huyo kuku elfu 12,000/= ukiambiwa fata pesa km 30 tu ndani ya dar ukienda na kurudi ukala na chakula imebaki chini ya 5,000.
Ebwana kumbe Kishingo ndiyo Sasso?
😂😂😂😂😂Sikukuu hii watatoka tu. Kuna milioni kasoro hapo.
Ila maisha ni upambanaji kweli. Huyo kuku elfu 12,000/= ukiambiwa fata pesa km 30 tu ndani ya dar ukienda na kurudi ukala na chakula imebaki chini ya 5,000.
Hapana ndugu, nilimzungumzia huyo kishingo aliyenyoa kiduku kama Rotim. Zamani kwetu tulizoea kuwaita jomoWapo huko tufanye biashara