Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana jamvi, natafuta soko la pumba za mahindi. Kwa sasa nina jumla ya gunia 1,000 zenye ujazo wa debe saba kila moja. Mahali: Kasulu Kigoma Mawasiliano: +255 76 2 061 694 Ahsanteni sana.
1 Reactions
2 Replies
817 Views
JE WAJUA KAMPUNI YA NEMTEK: Nemtek imekuwa nguvu ya ubunifu na ya kutegemewa katika tasnia ya uzio wa umeme kwa zaidi ya miaka 30. Inatengeneza anuwai kamili ya vichangamshi na maunzi ya uzio...
0 Reactions
2 Replies
860 Views
NOW NI MFUMO WA KUCHAKATA RATIBA YA VIPINDI AUTOMATICALLY Huu Ni kwa level zote za elimu [emoji3591]Chekechea [emoji3591]Primary school [emoji3591]O level [emoji3591]A level [emoji3591]Vyuo...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Kuna utofauti kati ya kampuni na jina la biashara (business name). Jina la biashara ni jina la utambulisho ambalo umeamua biashara yako ifahamike na kuitwa. Mfano ni majina ambayo wengi...
2 Reactions
3 Replies
11K Views
Je, umesoma kitabu hiki? Angalia picha ya gamba (cover) lake kitabu hicho. Na, je, unajua maana ya usonji? Kwanza tuujue usonji (Kiingereza, autism) Usonji ni hali ya kuwa na changamoto za...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni la milango mitatu Material yake ni mdf Bei ni 350,000 Lipo Sinza Remy Mawasiliano: 0685661790
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana jamii nahitaji supplier wa hii miti ni micharaka inaitwa au mkambara nahitaji PC 8000 location bagamoyo kidomole kila PC ntalipia 3000 namba zangu 0658009530
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naitwa Alfredy Angelo natafuta kazi, nina ujuzi katika fani ya ujenzi. kama kujenga, kupiga plaster, kufitisha madirisha na flemu za milango asante. Napatikana Dar es salaam. +255676237106
2 Reactions
1 Replies
761 Views
Ndugu wafanyabiashara, wajasiriamali na wabobezi wa masuala ya uchumi wasalaam! Mimi huwa najishughulisha na uchimbaji wa madini ya Rubby na Dhahabu, sasa naomba kwa mwenye uzoefu wa soko zuri la...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Zipo njema used as new Bei ni laki mbili kwa kila moja No:0658554720
0 Reactions
2 Replies
938 Views
Hizi App kwa sasa zipo tayari: Tokomeza utoro wa wanafunzi shuleni. 1. Attendance app By one click sms yakawaida inamwendea mzazi. Haihitaji kuwa na computer wala mtandao wa internet...
3 Reactions
0 Replies
700 Views
Heka zipo Arusha maeneo Kingori, Kikatiti, Maji ya chai na sehemu zingine. Heka zilizopo km 4 ni kuanzia ml 11 unaweza kulipia cash au kidogo kidogo. Heka zilizopo km 5,6,7, na kuendelea unaweza...
8 Reactions
63 Replies
3K Views
Nature of Business: Ecommerce/Online,Softwares/System/IT Nature of Products: Webhosting Services/CRM and ERP Systems Annual Revenue Potential:5,000,000-25,000,000 What you Get: Training and...
1 Reactions
4 Replies
935 Views
Mwaka 2009 Cc 1990 No turbo No sun ruff Milion 24 Gari haijarudiwa rangi na haina shida yoyote ile…mawasiliano karibuni PM
0 Reactions
5 Replies
653 Views
Habari za majukumu ladies and Few Gentlemen Nauza Hizi Grill ziko 7. Bei ya Hasara, elfu 95 kila moja. Utaweka kwenye milango yako na unaweza kupunguza kulingana na Size ya Mlango wako...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
-Ukubwa wa storage usipungue GB50 -RAM isipungue 4 -kioo hata nch 14 kiwe kina rangi nzuri -Iwe na window currently -key board yoyote ilimradi iwe haina shida -Mouse iwe optical -VGA and power...
0 Reactions
1 Replies
361 Views
Nauza gari Isuzu NPR mayai. Gari ipo vizuri, popote inafika. Location Mtwara Mawasiliano: 0718708989
0 Reactions
2 Replies
620 Views
Wakuu habari za kutwa, Niko hapa kumtafuta mtu au kampuni inayosambaza ubao huu bora kabisa kwa kutengenezea makabati na showcase mbalimbali. Kwa wasiofahamu MDF iko vipi ni kama zile marine...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini za majukumu ndugu wadau wa JF. Ninafanya biashara ya kuuza samaki aina ya sato. Size ya samaki wanaopatikana kwa wingi kwa sasa ni wale wanaovuliwa katika nyavu ya nchi 4 mpaka nchi...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom