Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,924
- 2,197
Wakuu ninauza TV tajwa hapo juu ni yangu mwenyewe
Vipengele:
Mfuniko wa remote haufungi hii niliuziwa hivihivi kwa sababu wakati nanua remote ilikuwa kwenye kimfuko chake so sikugundua hadi nilipofika home.
Vilevile kwa nyuma ina kitu kama antenna hivi kwa bahati niliitegua mimi mwenyewe wakati nafuta vumbi.
Tofauti na vipengele tajwa hapo juu haina tatizo lolote.
Sababu ya kuuza nimekwama kifedha.
Bei ni 150,000 japo niliinunua kwa 270,000.
Location; Dar es salaam, Kigogo Mwisho jirani na mburahati au hata kigogo post ni rahisi kufika kwangu uikague.
Sms/WhatsApp 0693 010101 ...karibuni.
Vipengele:
Mfuniko wa remote haufungi hii niliuziwa hivihivi kwa sababu wakati nanua remote ilikuwa kwenye kimfuko chake so sikugundua hadi nilipofika home.
Vilevile kwa nyuma ina kitu kama antenna hivi kwa bahati niliitegua mimi mwenyewe wakati nafuta vumbi.
Tofauti na vipengele tajwa hapo juu haina tatizo lolote.
Sababu ya kuuza nimekwama kifedha.
Bei ni 150,000 japo niliinunua kwa 270,000.
Location; Dar es salaam, Kigogo Mwisho jirani na mburahati au hata kigogo post ni rahisi kufika kwangu uikague.
Sms/WhatsApp 0693 010101 ...karibuni.