TechWarlock
Member
- Sep 9, 2014
- 37
- 11
Salama Wakuu?
Nina bati 13 za ALAF zimebaki baada ya kupaua naziuza, 11 ni za mita 3 na 2 ni za mita 3.3 nina kofia 1 na valley 1 zote ni charcoal grey na aina ya bati ni Versatile, zina kama siku 6 tangu zitoke kiwandani. Unaweza nichek PM kama uko interested bati zipo Kimara Dar es salaam.
BEI:
Nilinunua kwa Tsh 23,840 kwa mita ila nauza Tsh 21,000 kwa mita, na kofia/valley(mita 3) kwa Tsh 21,000(nilinunua kwa Tsh 24,000)
Nina bati 13 za ALAF zimebaki baada ya kupaua naziuza, 11 ni za mita 3 na 2 ni za mita 3.3 nina kofia 1 na valley 1 zote ni charcoal grey na aina ya bati ni Versatile, zina kama siku 6 tangu zitoke kiwandani. Unaweza nichek PM kama uko interested bati zipo Kimara Dar es salaam.
BEI:
Nilinunua kwa Tsh 23,840 kwa mita ila nauza Tsh 21,000 kwa mita, na kofia/valley(mita 3) kwa Tsh 21,000(nilinunua kwa Tsh 24,000)