Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza viwanja kikatiti na maji ya chai. 1. Kikatiti/ mlimani/ Viwanja Km 1 nanusu 20 kwa 15 ml 3.5 Km 1 20 kwa 15 ml 4.5 M 500 30 kwa 15 ni ml 6.5 2. Heka zipo samaria ni km 1 28ml Heka zipo...
1 Reactions
0 Replies
326 Views
Nataka kununua Mitsubishi Canter 2tonne Dump High Deck ya kubeba mchanga, tofali, mawe nk.
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa mlioko Mby hasa kipande cha Rungwe/Tukuyu. Kuna jamaa toka SA ana shamba kubwa la kufa mtu la parachichi. Mwanzo alivyoanza alitangaza kwamba atanunua kilo moja kwa tsh 2500/. Ukinunua miche...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanda cha Tofali kinauzwa Kigamboni Price 35 Million Payment method cash or installment Call 0692 275 216 Whatsapp Kiwanda kipo mtaa wa Muhimbili primary school Kigamboni mazingira eneo...
2 Reactions
3 Replies
625 Views
DESCREPTION: PROCESSOR: Core i5 5th generation 2.2 GHz RAM: 4GB HDD: 320GB FINGERPRINT. BATTERY: 2HRS MAX IN GOOD CONDITION. PRICE: 350,000/=. CONTACT: 0777383578
0 Reactions
2 Replies
531 Views
Wakuu nahitaji dawa effective ya kuua panya kwani nyingi ni fake.... au ninapoweza kupata hata paka/nyau ambaye yuko makini katika kuua na kufukuza panya.......ushauri unaruhusiwa...
0 Reactions
60 Replies
21K Views
USED TOYOTA IST 1290CC MILEAGE 99809Km AERO FOG LIGHTS YEAR 2004 TRANSMISSION 2WD COLOUR BLACK. Price 15,800,000 tsh Call [emoji338] 0747433716
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Biashara ya pochi ndogondogo za kike nainai chambuu 💥4000 Kuanzia pisi 20 🔥5000 Kuanzia Pisi 10 ⚡6000 Kuanzia Pisi 2 🌟7000 Pisi 1 (Rejareja) 😋Unaweza kuuza 7000-10000 📍Tupo Morogoro Mjini Mtaa Wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii hapa Ni sofa inauzwa 160,000 Free delivery in Dar Mikoani 185,000 pamoja na gharama za usafiri unaletewa popote ulipo Tz 24hrs - 72hrs 0613584570
1 Reactions
1 Replies
309 Views
Nipo Morogoro mjini natafuta mteja wa iliki na pilipili manga, iliki zipo zaidi ya kilo 500, bei tunakubaliana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Anae hitaji MacBook Pro-- Chip M1 Pro, Memory 16GB, Storage 512GB. Mwasiliano 0717678225. Tsh.5million tu.
2 Reactions
14 Replies
922 Views
Waungwana watumiaji wa asali kwa afya, leo napenda kutoa mada ya kuitambua asali halisi au mbichi. Zipo njia nyingi tena nyingine unaweza kuwa unazijua. Asali halisi ni nzuri kutumia kama dawa ya...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Tunauza asali mbichi kutoka Tabora Asali yetu ni original kabisa haijachakachuliwa hata kidogo Kuthibitisha hilo unaruhusiwa kutest mpaka ukijiridhishe ndipo unafanya malipo Kwawale ambao...
0 Reactions
3 Replies
698 Views
0787 345 816 nipigie. Kwa 8,000/= tu unapata pakti ya vikombe 50. Nipigie kwa idadi yoyote ntakuletea, Dar ama mkoa wowote.
1 Reactions
3 Replies
569 Views
Habari zenu wapendwa wanajamii forums! Tunayo furaha kuwatangazia kwamba tuna diaries mpya za mwaka 2024,Tunaamini kwamba diaries hizi zitakuwa mwongozo mzuri katika maisha yako ya kila siku na...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Nauza tofali za kuchoma bei tsh.100 kwa tofali, napatikana kijiji cha Kauzeni Morogoro Mjini,karibuni
2 Reactions
45 Replies
21K Views
Kwakweli naombeni matapeli madalali msinipigie ,mnasema mnauza mashamba natafuta mteja tunaanza kuzunguka tu kama pia. Tuelewane. Hii namba ni kwa ajili ya wateja sio mniharibie kazi . Ila kama...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwa anayefahamu ni wapi wanauza spare parts za zana za kilimo kama matrekta aina zote hususani Matrekta ya Fiat/New Holland. Njoo inbox
2 Reactions
0 Replies
412 Views
Habari, Kwa anaehitaji kitanda ya sofa and ako iringa ninakiuza Kwa 190k tu instead of 250k , kama unakihitaji dm me tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
645 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…