Habari wakuu, nahitaji fremu za kutengeneza mikanda ya gypsum. Anayefahamu inapatikana wapi na ikiwezekana na bei yake akoment nitamfuata inbox tuyajenge.
Pia, anayetengeneza hii mikanda naomba...
Shallom wakuu.
Kutokana na maendeleo ya ukuaji wa sayans na teknolokojia zipo njia mbalimbal za kuzuia uhalifu nyumban kwako au eneo lako la biashara.
Tumekuletea camera nzuri unayoweza kutumia...
Habari Wakuu,
Nina kijana wangu amejiunga NIT ngazi ya cheti(HR). Naomba chumba cha kupanga (single room) ndani ya kata ya mabibo au maeneo jirani.
Piga 0713 039 875.
Hii TV imevunjika screen kwa bahati mbaya, sasa kwa yeyote ambaye anaweza kuichukua akabadilishe kioo karibuni nasikiliza offer zenu.
Call: 0684 848 801
Karibuni wadau
TV ipo Dar es Salaam...
Habar wana Jf;
Kama kichwa habari kinavyosema nauza laboratory reagents pamoja na laboratory equipments kwa shule za sekondari, vyuo vikuu, taasisi za afya,mashirika ya kiserikali pamoja na yasiyo...
Ofa ya leo tu
Busines card kudesign free (bure), endapo utataka kuiprint itakugharimu Tsh. 10000 tu kwa pc 100
Taarifa muhimu kwenye kutengeneza business cards za CCM;
Jina
Cheo
Namba ya simu...
Habari wadau
Nahitaji application ambayo itasaidia kurecord stock movements kwenye maduka yangu mawili.
Moja ni Head office na moja ni branch.
Yaan mtu anaye uza kwenye branch ,taarifa zote...
Nilalalapo na niamkapo naona biashara pekee itakayoweza nfikisha pale napopataka ni biashara ya simu, idea yangu imejikita zaidi katika uuzaji wa simu ndogo kwa kuanzia, hii ni kutokana na udogo...
Habari zenu wanajamvi nimekuja jukwaani kutangaza nafasi kama wewe ni muwekezaji au mfanyabiashara ofisi ipo na kila kitu ni ofisi ya uwakala wewe njoo na mtaji wako na kodi ya miez 6 ikipungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.