Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ndugu yangu NATAFUTA mwenye Uwezo wa Kupata Fly Ash kwa Ajili ya Ujenzi. Nahitaji Kiasi cha Tone 40,000 Kwa Yeyote ambae anayo naomba Tuwasiliane kwa Namba hii 0715-011022
0 Reactions
2 Replies
445 Views
Uchaguzi wa Njia ya usafirishaji hutegemea mambo yafuatayo - 1. Thamani ya mzigo - 2. Ukubwa wa mzigo Mizigo yenye thamani kubwa na midogo chini ya KG 2, safirisha kwa njia ya EMS - Ni hakika na...
2 Reactions
23 Replies
10K Views
Habari karibu CHAMPION PAINT SHOP ni wauzaji wa rangi za nyumba, pia tuna mashine ya kuchanganya rangi mbalimbali Kwa kutumia kompyuta, BEI ZETU ni nafuu sana tunapatikana Mwenge-Lufungira Karibu...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
GPS TRACKING SYSTEM NI NINI Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika. Mfano ---- Sehemu chombo kilipo ----...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Karibu Tairiyako General Enterprise Call/WhatsApp :+255621560797 Tunapatikana Arusha na Dar es Salaam EMAIL:Tairiyako@tairiyako.com obedimollel20@gmail.com
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza Viwanja kwa bei nafuu . 10 kwa 10 ml 1500000 15 kwa 10 ml 2500000 Hivi vipo karibu na barabara ya huko sio lami Ndani kwa ndani Ml laki 1 unapata 10 kwa 10 20 kwa 20 ml 7 mpaka 10ml Heka...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wana JF, Kwa wakazi wa Dodoma nina Dagaa aina ya uwono kutoka Tanga. Kwa anayehitaji au anayejua wapi ninaweza kupata wanunuzi wengi basi naomba anifahamishe ili tuwasiliane.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Anae jua nitapata wapi hii machine pamoja na bei yake anijulishe tafadhali. With much thanks in advance
0 Reactions
1 Replies
660 Views
Nina imani nitakuwa mkombozii Kwako kwa sababu nina uzoefu wa masuala yote ya kusajili biashara (kama kampuni au jina la biashara) kuanzia usajili hadi namna gani utaikuza biashara yako. Huduma...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Karibuni wote dispensary inauzwa . Sekei Arusha umbali ni mt 100 sio ile barabara ya lami almashauri ni ile ingine ya ambayo ni rafu road . Bei ml 250 ,ni heka moja kamilifu napia ina hati zote ...
1 Reactions
6 Replies
629 Views
Sawa.. Shuka 2 foronya 2 Size 6*7 25,000 Shuka 2 foronya 2 6*6 22,000 Shuka 2 foronya 4 7*8 30,000 Mapazia yanaanza 50,000tsh Mpaka 120,000
1 Reactions
2 Replies
789 Views
Karibuni Tuwatengenezee saa za mkononi na za ukutani zenye sura yako Location Mbeya lakini Tunafanya delivery Nchi nzima. Mawasiliano +255762363062 Sent from my MX710 using JamiiForums mobile app
3 Reactions
9 Replies
693 Views
Natafuta mtu wa kunishika mkono kwenye kuanza biashara.mtaji wangu ni mdogo tu kama 1,400, 000/=.sichagui biashara kikubwa iwe inaingiza tu ela. Matapeli kaeni mbali na hii post maana sijatoka...
3 Reactions
9 Replies
515 Views
Habari GStar publishers ni kampuni inayojihusisha na uchapaji wa vitabu, mabango, brochures na business cards kwa bei nafuu. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Jangwani au tupigie kwa simu. 0719682352...
0 Reactions
12 Replies
984 Views
Anatafutwa mpishi almaarufu wa pilau ya shughuli njoo hapa tutengeze dili.
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari… nauza zulia quality bado jipya limetumika kidogo sana kwa bei poa… tunaweza kuwasiliana dm kwa maelezo zaid
1 Reactions
5 Replies
526 Views
Kiwanja kinauzwa, kipo Bunju A Stand ya Shule. Ukubwa wa kiwanja ni mita 20 x mita 26, sawa na SQM 400(makadilio), Bei ni TZS Milioni 8. Eneo hili ni tulivu na lina mazingira mazuri. Kiwanja hiki...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jukumu letu kubwa ni kuwa bora leo zaidi ya tulivyokuwa jana. Njia pekee ya kuwa bora ni kujifunza kupitia usomaji wa vitabu. Vipo vitabu vya aina nyingi ambavyo vinaweza kukupa maarifa...
3 Reactions
143 Replies
24K Views
Harrier inauzwa kwa bei ya shilingi 17m Engine capacity ni 23600 Km 93000 Ipo dar Piga 0698235368
2 Reactions
3 Replies
639 Views
Back
Top Bottom