Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza tofali za kuchoma bei tsh.100 kwa tofali, napatikana kijiji cha Kauzeni Morogoro Mjini,karibuni
2 Reactions
45 Replies
21K Views
Kwakweli naombeni matapeli madalali msinipigie ,mnasema mnauza mashamba natafuta mteja tunaanza kuzunguka tu kama pia. Tuelewane. Hii namba ni kwa ajili ya wateja sio mniharibie kazi . Ila kama...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwa anayefahamu ni wapi wanauza spare parts za zana za kilimo kama matrekta aina zote hususani Matrekta ya Fiat/New Holland. Njoo inbox
2 Reactions
0 Replies
407 Views
Habari, Kwa anaehitaji kitanda ya sofa and ako iringa ninakiuza Kwa 190k tu instead of 250k , kama unakihitaji dm me tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
637 Views
Masaihost WE PROFESSIONAL WEB HOSTING SOLUTION FOR ANY BUSINESS NEEDS. For Only TZS 75,000 *Features Domain Name (.co.tz) Control Panel 40GB storage 40GB Data Traffic 50 Email Accounts PHP &...
0 Reactions
0 Replies
325 Views
Uzoefu wangu. Kituo cha chekechea (daycare center) kipo chini ya ofisi ya wilaya (afisa maendeleo). Hivyo taratibu zote za kufungua zinaishia hapo. Wakati shule ya chekechea (nursery school) ipo...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza taa za solar ninazo Sita tu Bei ni elf50 kwa kila moja nyote mnakaribishwa unaweza kuweka nje ya fensi ndani au kwenye viwanja vya nyumbani ni sensor
0 Reactions
5 Replies
637 Views
Ndugu zangu Nina simu nauza ila ni ya mkopo. Imebakiza miezi mitatu kumaliza. Ni Infinix smart 7+. Nina dharura na Sina kitu kingine Cha ziada. Anaeweza kunisaidia kuinunua naomba tuwasiliane please.
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Zipo changamoto nyingi za uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Leo ninakushirikisha baadhi ya changamoto ambazo nimeziona zinaweza kukuzuia kutoka hapo ulipo kwenda hatua nyingine ya mafanikio...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Eneo lipo karibu na hii barabara. Kwa aliye serious anifate DM. Asante.
0 Reactions
11 Replies
778 Views
Mwaka 2023 ulianza kama utani siku zikazidi kwenda nusu mwaka tukaumaliza watu walizidi kujiuliza mengi "miezi sita imeishaje au mwaka ni mfupi? lakini yote kwa yote ndiyo hali halisi huwezi zuia...
1 Reactions
1 Replies
572 Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Hivi kwa mtu anayetaka kuanza hiyo kazi/ biashara utaratibu upoje? Unapataje deli? Na kama usipohitaji deli anapataje lile boksi lenye pieces 30? Mchanganuo...
1 Reactions
3 Replies
638 Views
Bei 180 Maongezi yapo 0678650509 . Nko mbez mwisho
0 Reactions
0 Replies
415 Views
Nyau anauzwa (Felis catus) elfu kumi na tisa 19,000/= (negotiable) Location: Kigamboni(Kichangani) Piga: 0759448927 Kama unahitaji rangi tofauti nicheki WhatsApp: 0620523897
10 Reactions
74 Replies
5K Views
MIKUMI NATIONAL PARK & CHOMA WATERFALLS (2 DAYS | 1 NIGHT) *TAREHE 16-17th December 2023 GHARAMA, 155,000/= SAFARI ITAANZIA DAR ITAHUSISHA -Malazi -Usafiri kwenda na kurudi -Chakula...
7 Reactions
112 Replies
4K Views
Habari mkuu, Naomba nikujulishe moja ya sababu ya biashara nyingi kukwama. Kiukweli yapo mengi yanayochangia kutokuendelea kwa biashara nyingi na majawapo Ni Mfumo bora na Mfumo sahihi. Vile...
1 Reactions
13 Replies
923 Views
Habari wadau, kwenye ukurasa huu tutakuwa tukikuletea magari yanayouzwa yaliyotumika hapa nchini na nje ya nchi. Kama pia una gari unauza unaweza kuwasiliana nasi kwa namba; [emoji736]Tunatoa...
5 Reactions
446 Replies
30K Views
Ipo sokoni bei 100k (mazungumzo yapo) ni used ila still kama mpya.. kila kitu chake kipo router yenyewe, power cable pamoja na ethernet cable. Location: Mwanza Buzuruga. Mawasiliano: 0767 744 254
0 Reactions
0 Replies
328 Views
Habari , nahitaji mabati used. Pc 50 nalipa cash mkononi nipo moshi mjini Mawasiliano 0672701329
1 Reactions
3 Replies
916 Views
Nyumba ipo kigamboni Mwembe mtengu inauzwa na mwenye nyumba. Master 2 Living room 2 Kitchen 1 Public toilet 1 Dinning 1 Seating 1 Ukubwa eneo 400sqm(20*20) Bei 38Mil MTEJA ANARUHUSIWA KULIPA...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom