Tunafundisha masomo ya ziada kuanzia baby class Hadi kidato Cha tatu.
Mwanafunzi atafuatwa Hadi nyumbani kwa ajili ya kupatiwa huduma hiyo kwa bei nzuri.
Hivyo kama kuna wazazi wanahitaji huduma...
TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD) NI NINI.?
Gastroesophageal reflux disease (GERD);
⚫ Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid)...
Habari za leo ndugu zangu, kwa yeyote ambaye atahitaji chai au chakula kwa ajili ya staff, saiti members, sherehe ndogo, mtu binafsi, kampuni, asisite kuwasiliana na sisi +255758131425.
Tunapika...
Kama Kichwa Cha habari kinavyoeleza
Nauza Radio yangu ya JBL flip 5 ipo katoka Hali nzuri
Inabase na sound nzuri
Inakaaa na charge up 12 hours
Radio ni very clean (Kwa wanaojua JBL wanajua...
nyumba inauzwa ipo mwembe mtengu tuongomb-kigamboni
ina vyumba 3
Vyumba viwili (bedroom)na publi toilet
main room[master room 1]na choo chake
Dining room
jiko
sebule
pia banda lake la nje
lina...
Tangazo la kitabu kipya kuhusu taaluma ya Ujasusi. Bei sh 45,000/= (free delivery jijini Dar, mikoani sh 5,000/=). Whatsapp/M-Pesa 0767-340-975
Yaliyomo kitabuni
👉Maana ya ujasusi
👉 Historia...
Habari wakuu. Nawatakia nyote kheri ya mwaka mpya.
Mimi ninahitaji chumba self maeneo ya Kimara , liwe eneo la karibu na barabara, kodi isizidi Tsh 100,000/- kwa mwezi. Nipo tiyari kulipia kodi...
Habari za leo.
Mashine seti nzima ya kutengeneza vijiti vya meno (toothpick) na vya kuchomea nyama(skewers) inapatikana.
Zimetumika kwa miezi michache.
Zipo Bagamoyo karibu na shule ya Baobab...
Habari za leo wakuu,
Nimefika Tabora( toronto ) mjini. Hapa, kwa wenyeji naomba muongozo wapi wanauza simu mpya na used (samsung, google pixel, iphone) at a reasonable price katika mji huu...
TAARIFA: AC IMESHAUZWA
Habari zenu
Nauza ac inafaa kwa chumba size sq 14 hv maana imefungwa bado haijafunguliwa inafanya kazi. Ni kuja kuwasha kuhakiki na kama una fundi wk mnaifungua na kuondoka...
Kama unahitaji kutengenezewa website ya Biashara yako au website mbalimbali kama za mziki, movie, kubet, social media na vingine vyote. Wasiliana nami 0692782826 malipo ni baada ya kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.