Aishi Manula afungua duka la Vifaa vya michezo

Aliposema Leo saa tano ana kikao na waandishi wa habari wengi walijifanya watabiri oh anasepa Simba kumbe imekuwa tofauti.
Amefanya Jambo la kuigwa na wenzake na sio kupost upuuzi mtandaoni.
 
Back
Top Bottom