Huwenda tayari anazo nyumba za namna hiyo.Hongera sana kwake.....pia ushauri wa bure.....atafute kiwanja ajenge chumba sebule hata 40 akiweza atanishukuru baadae.....chumba 1 ....10ft by 10ft ni 1mil tu ....ushauri wa bure.....mpira suala mpito
.
Bora sana kwake duka la nguo tuyajua litavuma miezi 3 tu kwisha yako mengiiiHuwenda tayari anazo nyumba za namna hiyo.
Zile pesa tulizomwonga dogo kaenda fungulia duka. Safi sana. Asidhani tutaendelea kumpa tena pesa aachie magoli.Golikipa wa Klabu ya Simba na timu ya Taifa ya Tanzania, Aishi Manula hii leo amefungua duka lake la vifaa vya Michezo Kinondoni Morocco.
Hongera sana, AISHI 🙌🏿
View attachment 2937098
Yani gharama ya kutengezeza chumba kimoja ni 1 million mkuu? Nmekuelewa vzuri?1 ....10ft by 10ft ni 1mil tu ....ushauri wa bure.....