Nauza heka 3 zipo Bagamoyo Mkenge

Bagamoyo Road ipi au hiyo barabara inayoelekea kiwangwa

Ova

Mkenge ipo ndani kidogo wastani 10km kutoka barabara kuu itakayo dar kwenda msata. Ukifkika fukayosi mbele kidogo kuna kiwanda cha chuma kipya...then hatua chache ndio ipo njia panda ya kwenda mkenge kabla hujafika kijiji cha Mwavi. Ni pale kwenye gofu aka pagale walilodai lilikuwa ni kiwanda cha juisi.
 
Mkenge ipo ndani kidogo wastani 10km kutoka barabara kuu itakayo dar kwenda msata. Ukifkika fukayosi mbele kidogo kuna kiwanda cha chuma kipya...then hatua chache ndio ipo njia panda ya kwenda mkenge kabla hujafika kijiji cha Mwavi. Ni pale kwenye gofu aka pagale walilodai lilikuwa ni kiwanda cha juisi.
Napajua huko,upande wa kiwanda cha nguzo za zege
Mbele unaingia kushoto
Kuna jamaa mwanO mwanzo hapo Ana sehemu Ana fuga ngombe,ukienda ndani ndani huko kuna li bwawa la maji
Mleta mada alitKiwa aseme barabara ya kuelekea msata not bagamoyo road

Ova
 
Napajua huko,upande wa kiwanda cha nguzo za zege
Mbele unaingia kushoto
Kuna jamaa mwanO mwanzo hapo Ana sehemu Ana fuga ngombe,ukienda ndani ndani huko kuna li bwawa la maji
Mleta mada alitKiwa aseme barabara ya kuelekea msata not bagamoyo road

Ova

Yaah ndio maana nimemsaidia kufafanua, maana mwenywe nina kipande changu mwanzo mwanzo pale wa njia ya mkenge kijiji cha mwavi kitongoji cha zemba. Siku ukipita niambie nikupe ndizi na mananasi
 
Yaah ndio maana nimemsaidia kufafanua, maana mwenywe nina kipande changu mwanzo mwanzo pale wa njia ya mkenge kijiji cha mwavi kitongoji cha zemba. Siku ukipita niambie nikupe ndizi na mananasi
Yeah upo sahihi kabisa .nimeshindwa kufany chochote kwenye plote yangu changamoto Tu
 
Napajua huko,upande wa kiwanda cha nguzo za zege
Mbele unaingia kushoto
Kuna jamaa mwanO mwanzo hapo Ana sehemu Ana fuga ngombe,ukienda ndani ndani huko kuna li bwawa la maji
Mleta mada alitKiwa aseme barabara ya kuelekea msata not bagamoyo road

Ova
Pale wanasema ni kwa bakhresa sio kiwanda cha juice
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom