Habarii wakuu...nipo dar es salaam,nahitaji samsung note 3 used kutoka kwa mtu ila isiwe na matatizo ya kiufundi na iwe GENUINE...sihitaji CLONES .
#check wz me thru PM or 0714609907 tufanye...
Washikaji, Mie na jamaangu tumeanzisha Pub hapa Arusha Tumeiita Le Tshentemba Pub sasa tuna siku 10 toka tuanze. Hii ipo Nairobi Rd karibu na Police post na ofisi ya mtendaji kata mkabala na...
Wadau pikipiki tajwa hapo juu inauzwa
Ni piki nzuri size ya kati inayofaa sana kwa matumizi binafsi.
Bado iko order sana ingawa imetumika kwa matumiz binafsi.Bei ni milioni 2 (usishangae dukani...
Wadau pikipiki tajwa hapo juu inauzwa
Ni piki nzuri size ya kati inayofaa sana kwa matumizi binafsi.
Bado iko order sana ingawa imetumika kwa matumiz binafsi.Bei ni milioni 2 (usishangae dukani...
Learn at your place- History,Kiswahili,English,Civics,Geography&Biology
Learning at Your Place... Are you studying secondary education? Learn what you want, when you want, from where
you...
Happy valentine wakuu,
Ninauza Tablet Pc mbili mpya kabisa na orijino. Moja ina screen inch 7 kwa tsh 350,000 na nyingine
ina screen nchi 10 kwa tsh 400,000. Tablet zote...
Nyumba inauzwa IPO kongowe kwa Pius karibu na st Pius high school,nyumba ya mbele ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja ni self,sebule,jiko na stoo!pia ina nyumba ndogo ya uani ina vyumba vitatu...
Habari za jumapili wakuu?Nina uza king'amuzi changu cha star time kwa bei tajwa hapo.Kipo vema kabisa ndo natumia kila siku!.Sababu ya kuuza nataka niongezee fedha ninunue kile cha TIN kuna local...
Habari. Nahitaji toyota noah mbili zenye hali nzuri zisizosumbua na ambazo hazijawahi kugongwa wala kubadilishwa engine. Bajeti yangu 7 milion kila moja.
power bank aina ya parkman zikiwa na ukubwa wa mah(milli ampere hour) 10000 zikiwa na uwezo wa kuchaji simu za mkononi zinapatikana,na zikiwa katika rangi tofauti tofauti kama nyeupe,blue,pink na...
Habari zenu,
kwa yeyote anayejua au anayeweza kunisaidia au atakayesikia, nyumba ya kupanga yenye chumba 1/2, sebule, + jiko maeneo yasiyo mabondeni Kijichi, plz anijulishe. nioi tayali kupokea...
Habari za asubuhi wakuu!
Naomba msaada wenu, nataka kununua gari, na nimefanya mawasiliano na Beforward Co. LTD Japan kwa mtandao wao, na asubuhi hii nimekuta Pro forma Invoice kwa E-mail yangu...
chumba kimoja self kinapangishwa dar mitaa ya changanyikeni karibu na chuo kikuu cha ardhi. bei ni maelewano kwa maelezo zaidi wasiliana na 0784 226800
Habari wanajf,
Rejea kichwa cha habari hapo juu,kuna chumba kimoja ambacho ni master,sebule na jiko vinapangishwa kwa bei ya tsh laki moja na elfu arobaini(140,000/=).Hipo tabata kimanga kituo...
Kwa wakazi wa mtwara kuna kumputer zinauzwa kwa bei nafuu kabiza zikiwa na vitu vifuatavyo
Nyimbo mbalimbali
Videos za nyimbo mpya
Movies mbalimbali
Series pia kama ni mpenzi.
Karibu tuwasiliane...
For those who want to hide their ID through Whatsapp just contact us to get external number this number you could be able to use whatsapp& viber line and so on simply check us via 0655500066 calls...
SPOTLESS CLEANERS COMPANY..
Inahusika na nini?
Ni kampuni ya Kitanzania inayotoa huduma ya usafi katika sehemu zifuatazo:
Usafi wa Ofisi zote
Usafi katika maeneo ya Viwanda na Biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.