Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza ASALI mbichi,jumla na rejareja.napatika makumbusho DSM ukifika kituo cha makumbusho nipigie 0718466147
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Year; 2000 mileage; 75000kms condition; outstanding tr; automatic colour; metallic black rd licence; till sept 2015 all duties paid, imetembea tz mwezi mmoja na kwa sasa ipo imepakiwa tu price 20M...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kama umemaliza form four na unaufaulu wa alama D kwa somo lolote la science unayo nafasi ya kuingia kwenye tasnia ya Afya. karibu usome utabibu, uuguzi, utunzaji kumbukumbu za afya na utaalam wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SONY XPERIA Z2 Black 16GB internal storage Micro SD Slot Android 4.4.4 With original noise-cancelling headphones and charger. Will include Flip Case Price 600,000 used 6 months. In very good...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Pagara liko Iringa mjini maeneo ya mwangata lina hati name limelipiwa aridhi. Kwa mawasiliano 0766610902.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ipo Kigogo Fresh,daki ka4 kutoka barabarani,ipo kwenye hali nzuri bei ni sh 55ml,kwa maelezo zaidi nicheck kwa number 0718375766
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kinywa kipya kutoka poland chenye ubora wa kimataifa. Carton 44,000/= tu zinakua 24 Ni kinywaji kizuri cha kukuchangamsha, kuondoa hang over na kuongeza perfomance
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natengeneza application za simu zenye platform ya android na ku launch playstore.kwaajiri ya biashara,shule,hospitali,studio,viwanda,kampuni na hata mtu binafsi kukingana na mahitaji yake.kama upo...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Kiwanja kinaunzwa eneo la Kigamboni Dar es salaam. ni umbali wa km 23 kutoka Feri ya Magogoni.kipo eneo la cheka karibu kabisa na ujenzi wa Apartment za kisasa za akiba,ukipita hizi Apartment kipo...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Habari gani wakuu? Nahitaji vyombo vya kuinika kwa ajili ya matibabu ((Enema), tafadhali alienavyo ani pm
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Welcome all! Its for all who would like to become Software Developers, completely beginners or intermediates. I have put a blog post to explain all stuffs but here is the part concerning training...
9 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa mara nyingine tena kwa wale wanaotaka vitabu vya elimu ya MALEZI, UONGOZI, UJASIRIAMALI, SAIKOLOJIA na masuala mengine ya kimaendeleo na maisha kwa ujumla tuwasiliane. Kama ukiweza nenda book...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakazi wa Dar na Moshi kwa maelezo zaidi Wasiliana nasi 0783 132193 Karibuni wote
0 Reactions
1 Replies
918 Views
POLENI NA MAJUKUMU YA KUTWA WANAJAMVINI. Mimi ni kijana wa umri 35 sikubahatika kumjua baba yangu mzazazi baada ya mama ya yangu kunizaa akiwa kwa wazazi wake, sikuweza kuonyeshwa baba yangu mzaz...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
MOROGORO INSTITUTE OF CREATIVE TECHNOLOGIES AND ENTREPRENEURIAL STUDIES (MICTES) CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MASOMO KWA KOZI ZIFUATAZO; Business Administration Accountancy Early Childhood...
0 Reactions
34 Replies
17K Views
Nauza microsd card 32GB na adapter yake mpya kwa 30,000/= tu! Wahi ujipatie yako! 0769 382 120
0 Reactions
0 Replies
841 Views
CPA REVIEWS! CPA REVIEWS! STARTING AGAIN ON 13th January 2014!! Are you in DODOMA; and you are looking for the CPA Review centre that guarantees you passing your exams for the first time...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Nina shida ya simu tajwa hapo juu....bajeti yangu ni kuanzia 5k itategemea na ubora wa simu na ukubwa wake kwa maaana ya gb. nipo dar es salaam napatakina kwa 0713 806 766. karibuni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MAHALA: mkoa- Tabora. Kijiji-Ndewelwa. Kitongoji- Ngemo. UMBALI: Toka Tabora mjini kilometer 10. UKUBWA: Ekari 83 MAWASILIANO: phone: 0763309707, mail: ambrosemapande@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanja ni heka mbili, kipo km 4 kutoka barabara kuu na pia pembezoni mwa barabara ndogo, karibu na Chuo Kikuu Huria, Fabcast na Sulliava Secondary School. Kwa Mawasiliano: 0686 241 184
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom