Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Linahitajika eneo ambalo limejengwa madarasa yasiyopungua manne na chumba kingine kwa ajili ya ofisi tunahitaji kwa ajili ya kupanga eneo hill kwa matumizi ya kutoa mafunzo,eneo liwe dar,mazingira...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waungwana kiwanja kipo Kawe Dar es salaam, kina barabara na hakina dalali. Mwenye kuitaj plz 0719474102.
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Vipo kigamboni Dar es salaam, karibu na Kichangani Hotel beach, ni mwendo wa km 28 toka Magogoni, vimepimwa vinaofa bei ni 25,000/= kwa sqm 1. kutoka viwaja vilipo mpaka baharini ni mwendo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi! Naitaji yale mageti ya kisasa ya kueka kwenye frem kwa mwenye nayo. Tuwasiliane 0719474102. Karibu
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu, nina files muhimu zipo kwenye mSATA (microSATA) harddrive kama inavyoonekana hapo chini. Hii ni SATA technology ila pin zake ni ndogo zaidi. Nia yangu ni niiconnect hiyo SSD kwenye PC...
0 Reactions
0 Replies
974 Views
TUNA DESIGN NA KU PRINT PRODUCT LABELS KWA BEI NAFUU SANA TUPO SINZA MAKABURINI - MTAA WA SOKONI MAWASILIANO Email: info@afrinet.co.tz / corneliousbk@gmail.com Simu: +255 755 257 508 / +255...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kingine hakijapimwa kina documents za mauziano, mmiliki ni mimi mwenyewe hakuna dalali,ukubwa ni 400sqrm.Eneo ni KINZUDI kata ya GOBA,Umeme upo.Maelewano yapo. BEI 6.5M 0769 222882
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Pat benz mpya kwa bei nafuu Make 1997 Model E320 Imetembea about 150,000 km Everything paid including insurance and road licence. Bei ni tshs 23 million. Kwa mawasiliano piga 0719 252523
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya mchele wa mbeya safi kwa bei ya jumla kuanzia kg 100 unapatikana kwangu kuptia namba 0719638294. Bei 1800@kg. Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya mchele wa Mbeya safi kwa bei ya jumla kuanzia kg 100 unapatikana kwangu. kupitia namba 0719638294. Bei 1800@kg. Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naiuza Tzs 200,000/- call:0716676947
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa Mimi ni mfugaji wa kuku wanyama nipo Arusha tengeru Kwayeyote anaetaka anijulishe kuku ni wazuri na nibei nafuu kabisa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, natumai weekend imeenda vyema. Nauza simu yangu htc m8 16gb internal space, imetumika miezi 2, bei 750,000/= inapungua kidogo.. NiPm mwenyewe kuhitaji
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza FRIJI SAMSUNG jipya na kubwa 700000/- serious buyer call:0716676947.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IPO SOKONI IMETUMIKA MWEZI MMOJA TU BEI 600,000/- NAKUPA NA KING'AMUZI STARTIMES BURE. Call:0716 676 947.
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Hello, ninauza simu tajwa hapo juu, haina tatizo lolote na ni original phone. Nimetumia muda mrefu(zaidi ya mwaka). Kama utavutiwa kuwa nayo pls sms kwenda 0755 78 34 20. Picha nitatuma kwa...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
samsung R 70 ram 2gb hdd 250gb screen inch 15.4 bettery life 3 hours.. bei laki nne Maongez yapo.. ipo katika hali nzuri japo ni used..ukihitaj nichek 0672047940 waxup nichek nkutumie picha
0 Reactions
2 Replies
728 Views
Laptop hp inauzwa ipo katika hali nzuri na inakaa na charge hdd 160 gb,ram 2 gb,duo core,web cam ipo bei shs 270,000 kama upo interested ni chek 0716385824
0 Reactions
3 Replies
1K Views
bei tsh 200,000/= aina: dell, d620 hdd 80gb ram 2gb core 2 duo display 14.1 inches condition: good condition item available at ubungo, dsm call 0714345958 or 0752858693
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau kwa mwenye kiwanja maeneo ya kilomo bagamoyo nahitaji.watsap & SMS only 0763479113 sihitaji DALALI!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom