Ipo safi ina pad 2 japo moja imeharibka kwa hiyo pad moja inatumika, inatumia cd na flash,ina memory card 1 na cd 3 ! bei ni 110,000 tu.0764875468 kwa anayetaka
Play Station 2 slim nyeusi inauzwa ikiwa na Padi 2, Memory Card, Flash ya 8gb yenye game 3.
Inacheza game za flash na CD pia. Iko katika hali nzuri.
Bei ni Laki Moja na Elfu Ishirini tuu...
Kiwanja kizuri zero distance from main road (Mivumoni-Goba road).
Ukubwa sqrM 400, Bei Milioni 7 tu.
Umeme na Huduma nyingine zipo.
Contact 0683499369/0715350793
Waungwana, Nauza Laptop Yenye Specs zifuatazo
Operating System:- Windows 8.1 Single Language 64-bit
System Manufacturer:- Hewlett - Packard
System Model:- Compaq cq58 Notebook PC
Processor:-...
Toyota ISIS mali mpya toka Japan . Bei sh million 13. Bei inapungua
Pia hua ninawaagizi wateja wangu Magari yoyote wanayoyataka kwa unafuu. Na lipwa Commission sh laki 5.
Wasiliana nami...
Habari kwenu wote....natafuta washauri wa biashara waliobobea areas zote za biashara...nataka kufanya consultation kwenye human resource mng, marketting, finance, and procurement. Nahitaji kampuni...
Nauza simu hyo(viwa X7) ina mwezi tu tangu niinunue dukani ram 1gb,internal mmry 4gb,camera 8mp nk nipo dar nicheki 0688206680 picha kidogo imeniwia vigumu kuziweka bt simu ipo poa as new
price 170k
Tunauza MBAO aina mbalimbali kwa bei ya jumla kutegemea na idadi unayotaka,mbao zote zinatokea Mafinga-Iringa. Mfano
2 by 6@ 1335 kwa futi
2 by 4@ 840 kwa futi
1 by 10@15,000 kwa ubao wa...
With the consideration of the above caption. The piece has the following features:
Internal storage: 16 GB
Operating system: iOS 8
Front & Back cameras: Yes
The piece has been used for only 3...
Ipo barabara ya Pugu karibu kabisa na Bakharesa co ltd, pale makutano ya Tazara , eneo lina ukubwa wa sqm 200, kuna godown na nyumba ya gorofa tayari vipo, picha zitafuata , eneo limepimwa...
Linahitajika eneo ambalo limejengwa madarasa yasiyopungua manne na chumba kingine kwa ajili ya ofisi tunahitaji kwa ajili ya kupanga eneo hill kwa matumizi ya kutoa mafunzo,eneo liwe dar,mazingira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.