Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama kichawa kinavyojieleza mwenye nayo aweke picha na detail zake zote hapa na contact zake.Gari Iiwe Dar es salaam ili nije kuiona na kuikagua. Karibuni.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
nyumba mbili zilizo kwenye kiwanja kimoja zinauzwa, nyumba moja ina vyumba sita na nyingne ina vyumba saba pia kuna kuna banda moja la uani pamoja na frem 4 mbele nyumba iko eneo la mbagala kuu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza hereni za rangi ya waridi pamoja na nyingine kwa sh.2000 na znapatkana kwa jumla pia hereni nzuri kwa waciotoboa masikio znapatikana Ni pm kwa biashara
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wadau wa Bizness, Nina shamba ekari 70 lipo Zinga(limepimwa na lina hati),Bagamoyo,1km kutoka barabara ya lami.Shamba lina Mashine za kunyonyoa,kukata kuku na mabanda ya kufugia,Ma freezer...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
  • Closed
Habari nzuri wakuu, Tunatoa mikopo ya 250,000 kushuka chini, malipo ni baada ya mwezi, unatuachia kitu cha thamani kama dhamana, mfano (simu, laptop, tab, n.k) Tupo Mbezi..
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Shamba linauza Mwanza lenye ukubwa hekari moja na lina miti aina ya mikaribea elfu moja yenye umri wa miaka mitano Mawasiliano 0754866063
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji mbili tu! Mwenye nazo ani-PM, kumbuka ziwe na stand.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
LG TV 42 inches, Price 950.000/=Tshs only. Call: 0713388226
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Natanguliza salamu kwa wana jami,kwa makampuni ya ulinzi na mtu mmoja mmoja napenda kuwatangazia kuuza riot proof devices za aina tofauti tofauti na bei zake zinaanzia tsh 60,000 hadi 120,000...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwa, kina Ukubwa wa robo mita 20 kwa 40 kwa sh. milion 25 (maongezi yakubalika) Kipo Bagamoyo mjini Kilipo kiwanja adi stand ya mabasi ni mwendo wa dakika 10 tu. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahali: Unique academy Upanga Dar es salaam duration: 2 Days price: 120usd
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Ipo katika hali nzuri kwa mawasiliano zaidi 0718800909
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Nissan Serena toka Japan . Bei sh million 15. Bei inapungua Pia ninaweza kukuagizia Gari yoyote unayoitaka kwa unafuu. Utanilipa Commission sh laki 5 kama garama ya kukuagizia. Utapata gari zuri...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Natafuta fremu ya duka la mahitaji ya nyumbani mf. Mchele,mafuta,sukar n.k au duka la aina hiyo linalouzwa N.B; Iwe ipo center kibiashara na iwe ipo Dar.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu, kwa yoyote anayefahamu ninapoweza kupata 'paraffin wax' kwa hapa Dar es salaam tujulishane, ile inayotumika kutengeneza mishumaa.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Iwe Shineray, used yenye hali nzuri, bajeti yangu laki sita(600000/=) 0766978393
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni projekta mbili aina ya sony kama inavyoonekana pichani. Zinauzwa pamoja na vitambaa vyake (vipya tu). Jumla ya zote na vitambaa vyake ni Tsh. 1,600,000/-. Kwa wanaohitaji nitumie ujumbe binafsi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, kwa yoyote anayefahamu ninapoweza kupata 'paraffin wax' kwa hapa Dar tujulishane, ile inayotumika kutengeneza mishumaa.
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Sepon Limited supply and installation of solar equipments and backup systems at homes, offices etc Backup system gives you full electricity when tanesco is off call us 0716485858/0762246488
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Natafuta machine za kumwagia mpunga. my cont 0713774746
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom