Natafuta Gari Rav 4 bajeti Mil 6

Natafuta Gari Rav 4 bajeti Mil 6

Nzega Yetu Kwanza

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
306
Reaction score
137
Kama kichawa kinavyojieleza mwenye nayo aweke picha na detail zake zote hapa na contact zake.Gari Iiwe Dar es salaam ili nije kuiona na kuikagua.

Karibuni.
 
Hukuna Lav 4 sokoni hadi sasa au nikopi ya RAV 4?
 
Wanakuja mkuu subiria vilevile hujaweka simu yako hapo juu
 
Kama Kichawa Kinavyojieleza Mwenye Nayo Aweke Picha Na Detail Zake Zote Hapa Na Contact Zake.Gari Iwe Dar Ili Nije Kuiona Na Kuikagua.Karibuni.

Rav 4 ipo milango 3,dark blue iko bomba sana,no.A...body yake safiii...!
nicheki 0755 927881 nikutumie pichaa...!
 
Ipo rav 4 milango 5, manual,namba A, gari mwenyewe kaipaki, wewe ni kuchukua na kupiga service mwendo mdundo
never ever a parked car, kitachokukuta hakuna rangi utacha ona.

nunua gari ambayo ipo barabarani hata kam aina hali ya kawaida.


huweiz jua aliyepaki ameipaki kwa sababu imemshinda kutenegenza!
 
Weka namba yako mkuu ili ikipatikana nikutafute, kuna jamaa aliwahi kuuza gari Suzuki Grand Vitara mil 5 ili apate viza ya Ujerumani, sasa hivi karudi ana L/Rover Discovery.
Kupanga ni kuchagua tu, baadhi ya watu wanauza magari kwa malengo maalum.
 
never ever a parked car, kitachokukuta hakuna rangi utacha ona.

nunua gari ambayo ipo barabarani hata kam aina hali ya kawaida.


huweiz jua aliyepaki ameipaki kwa sababu imemshinda kutenegenza!
Kuipaki haimanishi ni mbovu mkuu gari ni nzima jamaa yangu huwa anaipiga start siku moja moja,
 
Mimi ningekushauri uagize mwenyewe utaifaidi !things to note je una kiwanja /nyumba mkuu??manake kila siku sasa lazima uingie sheli..sec km unaaagza hiyo offer yako ulioweka hapo ni hela ya ushuru tu..clearing argent kina sele pale hujawatoa ,matairi hujajua km yakoje..jipinge vizurii nitakupa mwongozo..
 
Mimi ningekushauri uagize mwenyewe utaifaidi !things to note je una kiwanja /nyumba mkuu??manake kila siku sasa lazima uingie sheli..sec km unaaagza hiyo offer yako ulioweka hapo ni hela ya ushuru tu..clearing argent kina sele pale hujawatoa ,matairi hujajua km yakoje..jipinge vizurii nitakupa mwongozo..

we na we sijuwi unawaza nini, we unafikiri hajuwi kama kuna kuagiza? bajeti yake anaijua yeye. na ushauri nasaha wa nyumba na kiwanja sijuwi umeutoa wapi, kakwambia hiyo ni gari yake ya kwanza? na hata kama ni ya kwanza ni sawa tu, wakati mwingine ni heri mtu aanze na usafiri kuliko kufukia pesa kwenye ujenzi, ujenzi siyo wa kukurupukia na 5m.
 
Mimi ningekushauri uagize mwenyewe utaifaidi !things to note je una kiwanja /nyumba mkuu??manake kila siku sasa lazima uingie sheli..sec km unaaagza hiyo offer yako ulioweka hapo ni hela ya ushuru tu..clearing argent kina sele pale hujawatoa ,matairi hujajua km yakoje..jipinge vizurii nitakupa mwongozo..

Ushauri wa kifala huu sijawai ona
 
Back
Top Bottom